Wednesday 24 June 2015

Moto waunguza Msikiti uliopo karibu na jengo la Yanga




           
         Moto waunguza Msikiti uliopo karibu na jengo la Yanga
Moto huo ulianza majira ya saa kumi na moja kasoro na umeunguza sehemu kubwa ya msikiti bila ya kujulikana chanzo chake eneo kubwa lililoungua ni sehemu iliyokuwa ikitumiwa na wanafunzi wa dini ya kiislamu jambo la kushukuru leo hawakuwepo wakati moto huo ukitokea. kwa habari zaidi endelea kufuatilia blog yetu.

No comments:

Post a Comment