Monday 3 November 2014

WHY THEY HAVE DONE THIS TO WARIOBA? WE HAVE TO THINK TWICE!







Waziri Mkuu mstaafu Joseph Warioba akisaidiwa kutolewa katika vurugu

Katika mazingira ya kutatanisha, siku ya Jumapili vurugu zimekatisha mdahalo uliokuwa ukiendelea kujadili mchakato wa katiba mpya ya Tanzania huku baadhi ya watu wakipigwa na kujeruhiwa.
Mdahalo huo uliokuwa ukitangazwa moja kwa moja kupitia redio na televisheni ulivurugika kutokana na kundi la vijana wapatao 20 kuanza kumzomea aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, alipokuwa akiwasilisha mada yake.
Vijana hao ambao haijajulikana walitokea wapi au walikuwa na ajenda gani waliinua mabango ya kupinga msimamo wa waliokuwa wakiendesha mdahalo na kusema rasimu ya katiba iliyopendekezwa inakidhi mahitaji yote na kusema hakuna haja ya mdahalo.
Jaji Warioba ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania alifanikiwa kutoka nje ya ukumbi ulipokuwa ukifanyika mdahalo huo mjini Dar Es Salaam, lakini wapo watu waliojeruhiwa kutokana na kurushwa viti na vitu vingine.
BBC iliwasiliana na Jaji Warioba apate kueleza yaliyotokea na kama yuko salama baada ya vurugu hizo, lakini aliomba radhi kwa kusema hayupo tayari kulizungumzia swala hilo.
Kiongozi wa kitengo cha hamasa umoja wa vijana CCM (UVCCM), Paul Makonda, aliyekuwepo ukumbini alidaiwa kuhusika na vurugu. Lakini alipoulizwa na BBC kujibu tuhuma hizo Bw Makonda amekanusha kuhusika nazo huku akisema kwamba alihudhuria mdahalo kwasababu ulikuwa wazi kwa kila mtu.
Wakati wa vikao vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma, Makonda aliwahi kutoa kauli za kumkebehi Jaji Warioba ambaye tume yake iliandaa rasimu ya iliyokuwa ikijadiliwa na bunge hilo.
Hata hivyo Kamanda wa Polisi mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, aliieleza BBC kuwa hana maelezo ya kutosha na kwamba atalizungumzia akipata taarifa rasmi ya kiofisi.
Tanzania ipo katika mchakato wa kupata katiba mpya. Rasimu iliyodaliwa na kupitishwa na bunge lililosusiwa na vyama vya upinzani inatarajiwa kupigiwa kura na wananchi mwezi Aprili, 2015.
Wachambuzi wa maswala ya kisiasa wameeleza wasi wasi kuwa endapo hakutakuwa na kuvumiliana hali ya kisiasa nchini humo inaweza kubadilika na kuleta ghasia ambazo zinaweza kuepukika.

Burkina Faso crisis: Army promises 'transition body

Burkinese Lieutenant-Colonel and interim leader Isaac Zida attends a meeting with opposition leaders in Ouagadougou, 2 November 2014  
Lieutenant Colonel Isaac Zida is currently acting head of state'



Burkina Faso's military has said it will install a transitional government, days after it seized power as President Blaise Compaore's resigned.
The move came after soldiers had fired shots at the state TV station and barricaded the capital's main square as thousands of protesters demanded the military give up power.
At least one demonstrator was killed in Sunday's clashes.
The UN has also condemned the military takeover and threatened sanctions.
Long-time leader Mr Compaore quit on Thursday, following days of anti-government protests.
The army named Lieutenant Colonel Isaac Zida as the leader of a transitional government on Saturday.
However, thousands of protesters gathered on Sunday in the capital Ouagadougou, demonstrating against the army.
On Sunday evening, following a meeting with key opposition figures, a military spokesman said the army would put in place "a transition body... with all the components to be adopted by a broad consensus".
"Power does not interest us, only the greater interest of the nation," the military said in a statement (in French).
A man holds up a placard that reads in French, "Zida get out", referring to Isaac Zida, a high-ranking officer named by the military to lead the country's transition, during a protest at the Place de la Nation in Burkina Faso's capital Ouagadougou, 2 November 2014 A protester holds up a sign in French that reads "Zida get out" during a rally at the Place de la Nation
It had been necessary to disperse protesters to "restore order", the statement said, adding that one demonstrator outside the state TV station had died.
There were chaotic scenes at the state broadcaster's headquarters on Sunday, as both opposition leader Saran Sereme and former Defence Minister Kwame Lougue turned up to a rally.
It is believed that both had gone there, separately, to announce that they could head the transition government.
However, shortly after they arrived, gunfire broke out and staff and protesters fled.
Witnesses told the BBC that soldiers had fired in the air to disperse protesters before forcing journalists to leave.
National television resumed broadcasting a few hours later.
Troops also cleared protesters from the capital's main square, Place de la Nation.
line
At the scene: Laeila Adjovi, BBC News, Ouagadougou
Laeila Adjovi in Ouagadougou: There are claims of violence against civilians
After the confusion of these past few days, the situation was very tense on Sunday in Burkina Faso's capital.
People were back on the streets this morning to demand the return of civilian rule.
But then shots were fired next to the national television station and people were scared, fleeing in all directions. After that, we saw crowds disperse and flee every time they saw an army vehicle.
Some are angry at the army. Other says the latest violence is the responsibility of the presidential guard - commanded by Col Zida.
'Country in chaos': Voices from Ouagadougou
line
On Sunday evening, key opposition figures met Col Zida for talks.
Those present included Zephirin Diabre, leader of the Union for Progress and Change, former Foreign Minister Ablasse Ouedraogo, ex-Prime Minister Roch Marc Christian Kabore and Benewende Sankara, leader of the Union for Rebirth - Sankarist Party.
Burkinese Lieutenant-Colonel and interim leader Isaac Zida (L) escorts opposition leaders Zephirin Diabre (R), Benewende Sankara (C) and Roch Marc Christian Kabore (rear) at the end of a meeting between the army and opposition leaders in Ouagadougou, 2 November 2014 Col Zida (left) met opposition leaders for talks on Sunday
However, Ms Sereme reportedly left before the talks began and there were no details on what was discussed.
Mass protests first erupted last week when long-time leader Mr Compaore attempted to extend his 27-year rule.
Parts of the parliament building were set on fire, and the president fled to Ivory Coast.
Under Burkina Faso's constitution, the president of the Senate should take over after the national president resigns and an election should take place between 60 and 90 days afterwards.
The African Union, the US and regional economic bloc Ecowas have all condemned the military takeover.
The UN's West Africa envoy Mohamed Ibn Chambas said the military must allow a civilian transfer of power, and sanctions were a possibility if this did not happen.