Monday 11 January 2016

NJAA YAWAKUMBA WAATHIRIKA WA BOMOABOMOA


                                NJAA YAWAKUMBA WAATHIRIKA WA BOMOABOMOA

              

❖ Wakazi wa bonde la Mkwajuni Manispaa ya Kinondoni jijini hapa, waliobomolewa nyumba zao wanaomba msaada wa chakula kutoka kwa wasamaria wema.

Image result for Bomoa bomoa jangwani
❖ Wakiwa katika vifusi vilivyotokana na nyumba zao kuvunjwa, waathirika hao walisema wanashindia maji na uji huku wengine wakilala na njaa kutokana na kukosa fedha za kununulia chakula.
Askari wa jeshi la Polisi wakisimamaia suala la usalama mtaa wa Bwawani wakati wa bomoa bomoa ikiendelea katika Manispaa ya Kinondoni jijini Dar mapema leo.