Thursday 29 January 2015

PROFESA LIPUMBA HOI AKIWA MAHAKAMANI, AKIMBIZWA HOSPITALI.....KESI YAKE YAAHIRISHWA

Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof.Ibrahimu Lipumba hali yake 
kiafya sinzuri baada ya kubadilika gafla wakati akiwa katika mahakama kuu ya
Kisutu Jijini Dar es Salaam na hivyo kukimbizwa katika Hospitali ya UN 
kinondoni DSM.
Lipumba alifikshwa mahakamani  hapo na kusomewa mashitaka ya kuongoza 
 maandamano haramu.Profesa huyo  akiwa na wafuasi wake wameachiwa kwa 
 dhamana na kesi yao itasomwa tena tarehe 26 February Mwaka 2015
 
Ikumbukwe  kwamba, Lipumba  alikamatwa  jana  na  jeshi  la  polisi  kanda
  maalumu  ya  Dar  es  salaam  wakati alipokuwa akielekea eneo la 
Zakhem, Mbagala, kulikokuwa kumeandaliwa mkutano wa hadhara, kutoa
 taarifa kwa wafuasi waliokuwa wamekusanyika, kuwa mkutano na
 maandamano yamezuiliwa na Polisi.

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU SHULE BINAFSI NCHINI..SABABU ZOTE HIZI HAPA

Serikali imezipiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza ama kuwasitishia masomo wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani na kwamba shule zote zitakazokiuka agizo hilo zitachukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kufutiwa usajili.

Serikali pia imesema kuwa kuanzia mwaka 2016 itaanza kutoa elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha Nne.
 
Onyo hilo la serikali kwa wamiliki wa shule binafsi za serikali limetolewa na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bungeni mjini Dodoma katika kikao cha kwanza cha mkutano wa 18 ulianza Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu kutokana na swali la msingi la Mh Conchesta Rwamlaza.
 
Waziri huyo amesema ni marufuku kwa mameneja na wamiliki wa shule binafsi za sekondari kukaririsha, kuhamisha ama kuwafukuza shule wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani wa shule husika kwa kuwa kiwango cha ufaulu kilichowekwa na serikali ni wastani wa asilimia 30.
Aidha mbunge wa handeni Dr Henry Shekifu ameitaka serikali kutoa tamko la lini itaanza kutoa elimu bure ya kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha nne ili kuwawezesha watoto wote wa Tanzania kupata elimu ambapo serikali imesema utekelezaji wake utaanza mwakani.
Awali kabla ya kuanza kwa shughuli za bunge spika wa bunge hilo Mh Anne Makinda amemwapisha mwanasheria mkuu mpya wa serikali George Mcheche Masaju.
Mara baada ya kuapishwa nje ya bunge akijibu swali la waandishi wa habari kuhusu muswaada wa sheria ya mahakama ya kadhi ambao umeanza kuibua mawazo kinzani kwa baadhi ya viongozi wa dini hasa wa kikristo ndugu Masaju amesema wamepitia kwa umakini mswaada huo na kwamba hauna athari zozote kwa mtu, vikundi vya dini na taifa kwa ujumla na hautaingilia mambo yanayosimamiwa na serikali ikiwemo makosa ya jinai na taifa litaendeleaa kuwa wamoja.

Mali's MNLA Tuareg rebels hit by suicide bombers


An MNLA fighter in Kidal, northern Mali, on 27 July 2013 Tuareg rebels have been in conflict with the government since independence
Suicide bombers and armed attackers have killed about a dozen people in an assault on rebel positions in northern Mali, security sources have said.
This is the first suicide bombing blamed on the pro-government Gatia militia fighting Tuareg rebels.
However, it may have been infiltrated by militant Islamists who joined the attack, correspondents say.
Northern Mali has been hit by conflict between government forces, Tuareg separatists and militant Islamists.
French-led troops beat back al-Qaeda-linked groups who had seized control of most of the region in 2012 with the backing of the National Movement for the Liberation of Azawad (MNLA), the main rebel group campaigning for the rights of ethnic Tuaregs.
'Very volatile' The MNLA and the al-Qaeda-linked groups later fell-out, and animosity between them now runs strong, correspondents say.
The UN has a 9,000-strong force trying to restore stability in Mali.
United Nations soldiers patrol on 27 July 2013 in the northern Malian city of Kidal The UN is battling to end the conflict
Correspondents say there are strong suspicions that the government is increasingly relying on militia groups such as Gatia to strengthen its position against the MNLA in the north.
A UN source told the AFP news agency that two bombers blew themselves up in the attack near Tabankort town while a third was killed before he could detonate himself.
"Gatia fighters, accompanied by suicide bombers, attacked a rebel Tuareg and anti-government Arab position in the night from Tuesday to Wednesday near the town of Tabankort. There were a dozen deaths in total," a Western military source told AFP.
"The situation is very volatile, and it is essential to calm the situation," added the source.
map
The BBC's Alex Duval Smith in the capital, Bamako, says details around the attack are still unclear.
However, only al-Qaeda-linked groups have up to now carried out suicide bombings in Mali, and it is likely that they have infiltrated Gatia.
On Tuesday, three people were killed during clashes between protesters and UN troops in Tabankort, a stronghold of Gatia.
The protested stormed the UN base in Tabankort, accusing it of planning to create a buffer zone that would favour the MNLA. The UN denied there was such a plan.
Last week, the UN launched air strikes to push back MNLA fighters who had launched an assault to capture Tabankort from Gatia, the French acronym for Imghad and Allies Tuareg Self-Defence Group.
Northern Mali has been a flashpoint of conflict since Mali's independence from French rule in 1960, with Tuareg rebels campaigning for independence or more autonomy.
The conflict has become more complex with emergence of jihadi groups, which roam freely across large parts of the Sahara desert.

Cameroon 0 1 Ivory Coast


Max Gradel

Ivory Coast beat Cameroon to earn a place in the Africa Cup of Nations quarter-finals as Group D winners.
Max Gradel scored the goal that gave the Elephants the only victory in the six matches in the group, and saved them from having to draw lots.
He smashed in a drive from 20 yards to set up a last eight match with Group C runners-up Algeria on Sunday.
Edgar Salli missed two good chances to equalise, hesitating when clean through and also blazing over from in the box.
Those glaring misses left Cameroon bottom of the group - their worst finish at a Nations Cup finals - and it also means lots will need to be drawn on Thursday to decide whether Mali or Guinea, who played out the fifth 1-1 stalemate of Group D, take the other quarter-final place.
Ivory Coast will be relieved to have avoided that lottery, having gone out in 1988 by that method, as they did just enough to earn the win that guaranteed them passage to the knock-out stages for the sixth successive time.
Ivory Coast players celebrate Gradel's goal
There were 61 fouls in this game, the most Opta has ever recorded in an Afcon match
They had the better of the early exchanges, Serge Aurier crossing for Wilfried Bony, whose effort via his hip was pushed round the post by keeper Fabrice Ondoa, before right-back Aurier was himself denied as the Cameroon stopper dived low to keep out a header.
But neither side was brimming with confidence and the first half-hour lacked fluency and decisiveness.
It was a moment of uncertainty from Cameroon defender Jerome Guihoata that cost his side dear when he lost the ball to Gradel 25 yards out and the forward sent a rasping drive into the left corner to open the scoring.
Cameroon had a chance to restore parity three minutes later, but Salli took too long to get his shot away when clean though and Sylvain Gbohouo rushed out to save with his legs.
Salli was guilty of a worse miss when he blazed high and wide from the edge of the box with the last kick of the half - and it proved to be his final touch as he was replaced by Vincent Aboubakar at the start of the second period.
It was a change that was destined not to work for Cameroon as Aboubakar could do no better than Salli, spurning his side's only clear second-half chance, scuffing a shot from eight yards out.
Cameroon were simply unable to find a spark to ignite their play and in the end the Indomitable Lions limped out of the tournament.
Ivory Coast will hope that Yaya Toure has not done the same, as the Manchester City midfielder looked to be carrying an injury when he was substituted on 82 minutes.
Cameroon's Stephane Mbia and Yaya Toure of Ivory Coast
Yaya Toure (right) was again not at his best for Ivory Coast and also looked to have picked up an injury