Wednesday 24 June 2015

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AHITIMISHA ZIARA YA KUWATEMBELEA WAGONJWA UNGUJA

 MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AHITIMISHA ZIARA YA KUWATEMBELEA WAGONJWA UNGUJA 

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akihitimisha ziara yake ya kutembelea wagonjwa katika Wilaya ya Magharibi "A" na "B".


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa na Sheikh Habibu Ali Kombo wakiitia dua baada ya kumjuilia hali. (Picha na Salmin Said, OMKR)
Habari toka: http://rweyunga.blogspot.com

No comments:

Post a Comment