Thursday 25 June 2015

Usiogope Kufungua Kampuni au Biashara Ghalama zake ni hizi hapa:

BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY
                                   TAARIFA KWA UMMA
Kufuatia Mangazo ya Serikali Namba 126 na 127 ya tarehe 25 Aprili 2014, ada mbalimbali zinazotozwa chini ya Sheria ya Makampuni (Sura 212) na Sheria ya Kuandikisha Majina ya Biashara (Sura 213) zimebadilika. Ada hizi mpya zitaanza kutumika rasmi kuanzia tarehe 1 Julai 2015, na zitakuwa kama ifuatavyo:-
A: Sheria ya Makampuni (Sura 212)
1.      Kampuni ambayo mtaji wake ni :
(a)    Zaidi ya Tsh. 20,000/= lakini hauzidi Tsh.  1,000,000/=                  95,000/=
(b)   Zaidi ya Tsh. 1,000,000/= lakini hauzidi Tsh   5,000,000/=                       175,000/=
(c)    Zaidi ya Tsh. 5,000,000/= lakini hauzidi Tsh  20,000,000/=                       260,000/=
(d)   Zaidi ya Tsh. 20,000,000/= lakini hauzidi Tsh 50,000,000/=               290,000/=
(e)    Zaidi ya Tsh. 50,000,000/=                                                                          440,000/=
2.      Kwa usajili wa kampuni isiyokuwa na mtaji                                         300,000/=
3.      Kutunziwa jina la kampuni                                                                     50,000/=
4.      Kubadilisha jina la kampuni                                                                   22,000/=
5.      Msajili kupokea au kusajili waraka wowote unaotakiwa
kisheria kupelekwa kwake                                                                      22,000/=
6.      Ada ya kuchelewa kupeleka  waraka wowote unaotakiwa kisheria
kupelekwa kwa Msajili (kwa mwezi au sehemu ya mwezi)                    22,000/=
7.      Kuwasilisha Mizania ya kampuni                                                           22,000/=
8.      Kuthibitisha waraka wowote, kwa kila ukurasa                                                   3,000/=
9.      Kufanya upekuzi kwenye jalada lolote                                                                  3,000/=
10.  Kupata taarifa za kampuni kwa maandishi,kila jalada                             22,000/=
11.  Kusajili Hati ya Dhamana (Charge) iliyowekwa na kampuni                       22,000/=
12.  Kupata nakala ya Cheti cha usajili wa kampuni                                                     4,000/=
13.  Ada zinazolipwa na kampuni zinazoandikishwa chini ya sehemu ya XII ya Sheria    :
(a)    Kusajili katiba au waraka wowote unaotambulika kama ndio
 Katiba ya kampuni yao                                                                             $ 750.00
(b)   Kusajili au kuwasilisha waraka wowote unaopaswa
Kuwasilishwa kwa Msajili chini ya sehemu ya XII ya sheria,
Isipokuwa mahesabu ya kampuni                                                               $ 220.00        
(c)    Kuwasilisha Mahesabu ya Kampuni                                                            $ 220.00
(d)   Ada ya kuchelewesha kuwasilisha kwa Msajili waraka wowote
Unaopaswa kuwasilishwa kwake (kwa mwezi au sehemu ya mwezi)                    $  25.00
B: Sheria ya Kuandikisha Majina ya Biashara (Sura 213)
1.      i.          Ada ya usajili wa Jina la Biashara                                                        15,000/=
ii.         Ada ya mabadiliko ya taarifa zilizosajiliwa                                         15,000/=
iii.        Upekuzi kwenye daftari la Majina ya Biashara                                                  2,000/=         
iv.        Ada ya kupata nakala ya nyaraka ambayo haijathibitishwa
            kwa kila ukurasa au sehemu ya ukurusa                                                             3,000/=
v.         Kuthibitisha nyaraka ya aina yoyote                                                      4,000/=
vi.        Ada ya kufuta jina la biashara                                                             10,000/=
vii.       Ada ya kupata nakala ya cheti cha usajili                                            15,000/=
viii.      Malipo ya kuchelewa kuwasilisha nyaraka katika muda
uliopangwa, kwa kila mwezi au sehemu ya mwezi                                1,000/=
ix.       Ada ya utunzaji wa jalada kwa mwaka                                                    5,000/=     
2.
(i)         Ushuru wa stempu hutozwa katika kila nakala ya cheti cha usajili
wa Jina la Biashara kitakachoombwa                                                                    500/=
                                                                    
        Imetolewa na
Msajili Makampuni / Majina ya Biashara
Simu: (+255-22)2181344 / 2180141 / 2180048 / 218004
PUBLIC NOTICE
Following Government Notices Number 126 and 127 published on 25 April 2014, fees payable under the Companies Act (Cap. 212) and Business Names (Registration) Act (Cap. 213, R.E. 2002) have been revised. The new fees will come into effect from the 1st July 2015, and will be as follows:-
A: Companies Act (Cap.  212)
1.      For the registration of a company having a capital whose nominal share capital is:
a)      More than 20,000/= but not more than 1M                                    95,000/=
b)      More than 1M but not more than 5M                                           175,000/=
c)      More than 5M but not more than 20M                                         260,000/=
d)     More than 20M but not more than 50M                                       290,000/=
e)      More than 50M                                                                             440,000/=
           
2.      For the registration of a company not having  a share capital ,Fee     300,000/=
3.      For reservation of a company name                                                      50,000/=
4.      For company name change                                                                   22,000/=
5.      For the receipt  and/or registration by Registrar of any document
            which under the Act is to be delivered to him                                   22,000/=
6.      For the late filling/registration fee to be paid to the Registrar of any
document delivered to him (per month or part thereof)                     22,000/=
                                                                                                                                   
7.      For filling of Annual Returns                                                             22,000/=
8.      For certification of any document, per page                                          3,000/=
9.      For making search in any file/perusal                                                     3,000/=
10.  For obtaining a written search report per file                                       22,000/=
11.  For registration of a Charge created by a Company                           22,000/=
12.  For obtaining a copy of Certificate of Incorporation                            4,000/=   
           
13.  For payable by a company to which Part XII of the Act
a.       For registration of certified copy of a charter ,status or
Memorandum and articles of the company, or other instruments
Constituting or defining the constitution of the company                   $ 750
b.      For registration of filling any document required to be delivered to
the Registrar under Part XII of the Act/other than the balance Sheet  $ 220
c.       For filling of Balance Sheet                                                                  $ 220
d.      For late filling/registration fee to be paid to the Registrar of any
document delivered to him out of time (per month or part thereof)     $ 25
B: Business Names (Registration) Act (Cap. 213, R.E. 2002)
Fees in TShs
1.      On application to register a business……………………………….. 15,000/=
2.      On application to register any alteration in particulars registered….              15,000/=
3.      For every inspection of the register…………………………………              2,000/=
4.      For an uncertified copy of an extract on the whole, of any document
in the custody of the Registrar, per page or part of a page………….              3,000/=
5.      For certifying any document or extract of a document……………..                          4,000/=
6.      On application to register of Notice of Cessation of Business ……..            10,000/=
7.      For issue of duplicate certificate of any registration………………...           15,000/=
8.      For making out of time any application which is required to be made
within a prescribed period, in addition to any other fee payable, for
every month or part of a month in default…………………………..              1,000/=
9.      Annual maintenance fee…………………………………………….                          5,000/=
              Issued by
Registrar of Companies / Business Names
Tel: (+255-22)2181344 / 2180141 / 2180048 / 218004

LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO JIJINI ARUSHA LEO, WANACCM 120,335 WAMDHAMINI

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa (wa tatu kulia) sambamba na Mkewe Mama Regina Lowassa, wakiongozana na viongizi mbali mbali wa Chama wa Mkoa wa Arusha waliofika kumpokea kwenye Uwanja wa Ndege wa KIA, wakati akitokea Mkoani Dodoma kuhudhulia vikao cha Bunge na kupigia kura bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Waumini wa Kanisa la International Evangelical Church (hawapo pichani).
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za WanaCCM wa Mkoa wa Arusha waliomdhamini ili aweze kupata ridhaa ya Chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Anaekabidhi fomu hizo ni Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha Mjini, Ferouz Bano, ambapo WanaCCM wapatao 120, 335 wamemdhamini Mh. Lowassa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akikabidhi sehemu ya fomu hizo kwa Mkewe Mama Regina Lowassa. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM jijini Arusha, Ndg.Onesmo Ole Nangole.
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa akiwasalimia WanaCCM wa Mkoa wa Arusha waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Msikiti Mkubwa uliopo mbele ya Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Arusha, leo Juni 24, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akimjulia hali Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya CCM, Mathias Manga, aliyejeruhiwa kwa risasi jana usiku na watu wasiofahamika, wakati walipokutana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa KIA, Mkoani Kilimanjaro leo Juni 24, 2015.
Sehemu ya Wakereketwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaoishi maeneo ya jirani na Uwanja wa Ndege wa KIA wakimshangilia Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa wakati walipomsimamisha ili aweze kuwasalimia leo Juni 24, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza jambo na Sioi Sumary.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na baadhi ya madakrari wa kigeni wanaotoa huduma kwenye hospitali ya Kanisa na International Evangelical Church, lililopo katika Kijiji cha Sakila, Wilayani Arumeru jijini Arusha. Kulia ni Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu Eliud Isanja.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwapungua mkoni ikiwa ni ishara ya kuwasalimia waumini wa Kanisa na International Evangelical Church, waliomualika leo Juni 24, 2015 ili aweze kuzungumza nao pamoja na kufanyiwa ibada maalum ya kumuombea.
Askofu Mkuu wa Kanisa la International Evangelical Church, Askofu Eliud Isanja akizungumza jambo wakati akimtambulisha Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa kwa waumini wa kanisa hilo.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza jambo na Mkewe, Mama Regina Lowassa kabla ya kufanyiwa Ibada maalum ya kumuombea Mh. Lowassa katika Kanisa la International Evangelical Church, lililopo katika Kijiji cha Sakila, Wilayani Arumeru jijini Arusha.
Sehemu ya Maaskofu wa Kanisa la International Evangelical Church, wakimuombea Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa na Mkewe Mama Regina Lowassa, leo Juni 24, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiagana na Askofu Mkuu wa Kanisa la International Evangelical Church, Askofu Eliud Isanja.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwa safarini kuelekea Jijini Arusha, mara msafara wake ukasimamishwa na WanaCCM wa Mji wa Maji ya Chai Wilayani Arumeru waliotaka kumsalimia.
Dereva wa Daladala uzalendo ukamsinda kwenye usukani na kuamua kukaa Dirishani ili aweze kumuona Mh. Lowassa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa alishuka kwenye gani na kuungana na WanaCCM hao.
Msafara wa Mh. Lowassa ulizuiwa tena eneo la Tengeru, Jijini Arusha baada ya WanaCCM wa Mji huo kufunga barabara ili waweze kuzungumza na kipenzi chao.
Mh. Lowassa akiwapungia mkono WanaCCM hao wa Mji wa Tengeru waliokuwa wamefurika kwa wingi barabarani.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiongozana na Mwenyekiti wa CCM jijini Arusha, Ndg.Onesmo Ole Nangole pamoja na WanaCCM wengine, wakati wakielekea kwenye Uwanja wa Msikiti Mkubwa, kulikoandaliwa shughuli nzima ya kukabidhiwa fomu za kumdhamini Mh. Lowassa ili apate ridhaa ya Chama chake kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Jumla ya WanaCCM 120, 335 wa jiji la Arusha wamemdhamini Mh. Lowassa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwasalimia wanaCCM na Wananchi wa Jiji la Arusha waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Msikiti Mkubwa uliopo mbele ya Ofisi za CCM Mkoa wa Arusha, leo Juni 24, 2015. Jumla ya WanaCCM 120, 335 wa jiji la Arusha wamemdhamini Mh. Lowassa.
Baadhi ya Wazee wa Kabila la Kimasai wakimbariki Mh. Lowassa katika Safari yake ya Matumaini.

Mbunge wa Arumeru Magharibi, Mh. Goodluck Ole Mideye akiwasalimia wanaCCM wa Mkoa wa Arusha.
Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Namelock Sokoine akiwasalimia WanaCCM wa Arusha.
Umati wa Watu.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Ndg. Hamis Mngeja akisalimia.
Sehemu ya WanaCCM wa Mkoa wa Arusha wakionekana ni wenye Furaha na Imani Kubwa na Mh. Lowasaa.
Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya CCM kutoka Wilaya ya Arumeru, Mathias Manga akisalimia.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisikiliza jambo kutoka kwa Mkewe, Mama Regina Lowassa.
Mwenyekiti wa CCM jijini Arusha, Ndg.Onesmo Ole Nangole akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mtangaza nia kuzungumza na WanaCCM wa Mji wa Arusha.
 
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akimpa pole Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya CCM, Mathias Manga, aliyejeruhiwa kwa risasi jana usiku na watu wasiofahamika, wakati alipomwita jukwaani kuwasalimia WanaCCM wa Arusha.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Jiji la Arusha waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa ulipo mbele ya Ofisi za CCM Mkoa huo, leo Juni 24, 2015, wakati alipofika kwa ajili ya kupata udhamini utakaomuwezesha kupata ridhaa ya Chama chake kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
 
Mh. Lowassa akiwaaga WanaCCM wa Mji wa Arusha.
Habari na: http://rweyunga.blogspot.com
You might also like: