Sunday 29 December 2013

Michezo| TFF yazidi kumhalalisha Ragge kuwa bado ni Mwenyekiti wa Simba.

                 
             Ismail Aden Rage ndiye Mwenyekiti halali wa Simba ambapo Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji imemtaka kuitisha Mkutano Mkuu kwa mujibu wa taratibu za klabu ya Simba.Kamati imebaini upungufu kadhaa wa kisheria kwenye uamuzi wa Kamati ya Utendaji ya Simba uliofanywa Novemba 18, 2013 kwa kumsimamisha Mwenyekiti wao. Upungufu huo ni pamoja na ukiukwaji wa Ibara ya 33 ya Katiba ya Simba juu uitishaji wa mkutano, ajenda ya kumsimamisha Mwenyekiti kuwasilishwa kwenye kikao kwa utaratibu wa mengineyo.
          Changamoto nyingi zilizoelekezwa kwa Mwenyekiti huyo zingeweza kupatiwa ufumbuzi kwa kutumia Ibara ya 16(2) ya Katiba ya Simba.Hivyo, agizo za Rais wa TFF, Jamal Malinzi kumtaka Mwenyekiti wa Simba aitishe mkutano lipo palepale. Pia Mwenyekiti ametakiwa kufanya uchaguzi wa kujaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti kwa kuzingatia Katiba ya klabu hiyo.
           Katika mkutano huo wa kujaza nafasi, ndiyo utakaojadili mgogoro kati ya Mwenyekiti na Kamati yake ya Utendaji. Nafasi hiyo kwa sasa inakaimiwa na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, Joseph Itang’are baada ya Geofrey Nyange aliyekuwa akiishikilia kujiuzulu.TFF inakumbusha wanachama wake wote (vyama vya mikoa, vyama shiriki na klabu za Ligi Kuu) kuzingatia Katiba zao. Kamati pia imegundua ukikwaji wa maadili katika suala hili, hivyo, litapelekwa katika kamati husika.
            Kwa vile maslahi ya TFF ni kuona mpira wa miguu unachezwa kwa utulivu, itazikutanisha pande husika wakati wowote kuanzia sasa.Kuhusu mchezaji Emmanuel Okwi ambaye aliuzwa nchini Tunisia, TFF inafahamu kuwa klabu ya Simba bado haijalipwa na itasaidia kufuatilia FIFA fedha za mauzo ya mchezaji huyo.
  
SOURCE: Shaffih Dauda

Tuesday 17 December 2013

Cristiano Ronaldo's message to Sir Alex
Ferguson on #SPOTY awards :
"Hi boss. I have this chance to send you a
message that I want to share with everyone like
you did with me which was unbelievable and I’ll
never forget it in my life.
"When I arrived at Manchester as an 18-year-
old, you were like a father for me in football and
you gave me opportunities and taught me many
things, and I feel glad to send you this message.
"I remember when I was there in the club and I
asked for the No. 28 shirt and you gave me the
No. 7. It put me under a lot of pressure but you
told me it wouldn’t be a problem and that I
would deserve to put this shirt on my body
because I was a fantastic player.
"You taught me how to be a good professional,
a good boy and you deserve this award because
you are a fantastic man and person. You are the
number one.
"Have a good evening and we will keep in touch.
Take care."

Monday 16 December 2013

Sunday 15 December 2013

Barcelona 2-1 Villarreal: Neymar lights up Camp Nou

The Brazilian struck twice to give his side a narrow victory and ensure they remain top of La Liga

Neymar Barcelona Villarreal La Liga 12142013
Getty Images
Neymar struck his fourth and fifth goals inside the space of four days as Barcelona saw off Villarreal 2-1 at Camp Nou on Saturday night.

The Brazilian forward – who scored a hat-trick in Barca's 6-1 thrashing of Celtic in the Champions League on Wednesday – starred again for the Catalan giants, who moved three points clear of second-placed Atletico Madrid with victory.

Neymar got the home side going with a 30th minute penalty, converting successfully after a harsh handball decision against Mario.

Villarreal enjoyed good spells and levelled three minutes after the break thanks to captain Mateo Musacchio's header.

Neymar had the last laugh, though, with the 21-year-old tapping in from close range after excellent build-up work by Cesc Fabregas and Alexis Sanchez with 22 minutes to play.

Despite missing Lionel Messi, Victor Valdes and Dani Alves due to injury, Barcelona still fielded a strong side as head coach Gerardo Martino made five changes with Fabregas and Andres Iniesta among them.

Former Blaugrana forward Giovani dos Santos started against his old club, but Villarreal were without key midfield pair Cani and Bruno, missing through injury and suspension respectively.

Barca started brightly and almost took the lead in the sixth minute as Alex Song fired a half-volley against the inside of the post from close range.

Giovani excited with two smart dribbles, but his runs eventually amounted to nothing, before the hosts took the lead in fortunate circumstances on the half-hour mark.

Mario was adjudged to have handled the ball inside his penalty area after Jordi Alba hit a ball straight at him from only a few yards away.

Referee Ignacio Iglesias pointed to the spot and Neymar calmly slotted past Villarreal goalkeeper Sergio Asenjo and into the bottom-left corner.

Asenjo was at his best six minutes before the break, though, saving well to deny Alexis and keep the margin to one goal at half-time.

And Villarreal levelled three minutes into the second half, as skipper Musacchio lost Marc Bartra and powered in a thumping header from Manuel Trigueros' corner.

Barcelona goalkeeper Jose Manuel Pinto got a hand to the effort but could not keep it out and Giovani shot just wide as the visitors pressed for a second.

The Catalan giants were patient in response and it ultimately paid dividends, as five minutes after Asenjo charged off his line to deny Fabregas, Neymar scored again.

A superb Fabregas ball was chested down by Alexis and instead of shooting – which he could have easily done – the Chilean drew the goalkeeper before squaring for Neymar to net.

Walinda amani 2 wa UN wauwa Mali

 14 Disemba, 2013 - Saa 18:55 GMT
Waasi wa Azawad wamerejea vitani baada ya kutupilia mbali mkataba waliofikia na serikali miezi minne iliyopita
Walinda amani wawili wa Umoja wa Mataifa wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulizi la bomu dhidi ya benki inayofanya kazi peke yake mjini Kidal Kaskazini mwa Mali.
Msemaji wa kikosi cha Umoja wa Mataifa nchini humo, alisema kuwa shambulizi hilo lilifanyika mapema asubuhi kabla ya benki kufunguliwa.
Walinzi hao walikuwa wanalinda benki pekee inayomilikiwa na serikali mjini Kidal ambako waasi wa Tuareg wanataka kujitenga na Mali. Waasi hao walianza uasi wao miaka miwili iliyopita.
Shambulizi hilo linakuja kabla ya duru ya pili ya uchaguzi wabunge.
Hakuna aliyedai kuhusika na shambulizi hilo, lakini kundi la Azawad linalotaka kujitawala Kaskazini mwa Mali limesema kuwa linajiandaa kususia uchaguzi huo.
Mnamo mwezi Novemba, kundi la MNLA lilitupilia mbali mkataba wa Amani uliofikiwa kati yao na serikali miezi minne iliyopita na kuanza tena uasi.