Saturday 31 January 2015

NEYMAR NI SHEEDAH LIGI YA HISPANIA.,..CHEKI ALICHOFANYA HAPA

neymar-barcelona-2013-hd-wallpapers-jpg
Kiungo mshambuliaji wa Barcelona Neymar Da Silva Jr vamekuwa kwenye kiwango cha juu msimu huu ambapo amekuwa sehemu muhimu sana ya timu yake katika michezo ya hivi karibuni .

Neymar amedhihirisha ubora wake kwa jinsi ambavyo amekuwa akifunga mabao mfululizo huku akisaidia kwa kutoa pasi za mwisho kwa wenzie na amekuwa akifanya hivyo kwa mwendelezo mzuri ,
Tatizo limekuwa moja tu , jinsi amabvyo mchezaji huyu amekuwa akilaumiwa hasa na wapinzani kwa kuwa mtovu wa nidhamu na mkosefu wa heshima ambapo amekuwa akiwadhihaki wachezaji wa timu pinzani kwenye nyakati tofauti hali ambayo imeonekana kuwakera wengi .
Wapinzani wa Barcelona wamemlalamikia Neymar kwa kitendo chake cha kuwadhihaki anapokuwa uwanjani .
Wapinzani wa Barcelona wamemlalamikia Neymar kwa kitendo chake cha kuwadhihaki anapokuwa uwanjani .
Neymar amekuwa na tabia ya kuwatukana wachezaji wa timu pinzani na wakati mwingine hata kwa vitendo na ndio maana amekuwa kwenye vurugu nyingi ambazo zimekuwa zikitokea kwenye michezo ya Fc Barcelona .
Majuzi wakati wa mchezo war obo fainali ya michuano ya Kombe la Mfalme ambapo Barcelona ilishinda kwa 3-2 Neymar alikuwa kwenye fujo zilizoibuka kati yake na wachezaji wa Atletico ambao ni Gabi , Juan Fran na Raul Garcia.
Ilifikia mpaka kocha Luis Enrique alilazimika kumtoa uwnajani ambapo baadae alikir kufanya hivyo kwa lengo la kumlinda .
Neymar amekuwa akihusika kwneye vurugu zinazotokea uwanjani kutokana na tabia yake ya kuwatukana wachezaji wa timu pinzani .
Neymar amekuwa akihusika kwneye vurugu zinazotokea uwanjani kutokana na tabia yake ya kuwatukana wachezaji wa timu pinzani .
Hivi karibuni Luis Enirque alisikika akisema kuwa Neymar anapaswa kujiheshimu na kuwaheshimu wapinzani na kama asipofanya hivyo huenda akafanywa ‘chambo’ na kuumizwa na wachezaji wa timu pinzani ambao wamejawa na hasira juu yake .
Tabia hii ya Neymar itawakumbusha wengi juu ya kile kilichokuwa kinafanywa na Ronaldinho Gaucho wakati akiwa na klabu hii ya Barcelona ambapo aliripotiwa kuwadhihaki na kuwatusi wapinzani huku akiendelea kuwakera kwa chenga zake za maudhi .
Credit:Millardayo.

TOA MAONI YAKO HAPA

MEYA MANISPAA MOROGORO, WAANDISHI WA HABARI WAPATA AJALI, HABARI KAMILI NA PICHA ZIPO HAPA

Na John Nditi ,Morogoro



MEYA wa Halmashauri ya Manispaa Morogoro , Amir Nondo (45), dereva  na waandishi  wa habari wawili wamepata ajali   baada ya  gari walilokuwa wakisafiria kugongwa na basi la abiria lenye namba za usajili T 831 CEH, aina ya Scania mali ya kampuni ya Happy Africa na kujeruhiwa  sehemu mbalimbali za miili yao na kulazwa  Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.



Tukio hilo lilitokea Januari 30, mwaka huu majira ya saa 9: 30 alasiri , eneo la Msamvu Mzambarauni darajani katika barabara kuu ya Morogoro- Dar es Salaam, ambapo basi hilo lilikuwa likotokea mkoani Njombe.



Majina ya watu hao wengine waliojeruhiwa na kulaza katika wodi za daraja la kwanza katika hospitali ya rufaa ya mkoa , ni dereva wa gari la Meya, Mwambala Ally (55) , na waandishi wa habari ambao ni wapigapicha vituo vya televisheni , Anitha Chali (30) pamoja na Hussein Nuha (28).



Mstahiki meya huyo  aliyekuwa kwenye gari ya Halmashauri ya Manispaa hiyo  yenye namba za usajili SM 4151, ikiendeshwa na Mwambala  ambamo pia walikuwemo waandishi wa habari hayo na alikuwa katika msafara wa ziara ya kikazi ya mkuu wa mkoa huo,Dk Rajab Rutengwe.



Meya Nondo akizungumzia  ajali hiyo, akiwa wodini akipatiwa matibabu  ,sambamba na majeruhi wengine alisema baada ya kufika eneo la Mizambarauni, Darajani, lilichomoka pembeni basi la abiria ililokuwa likitokea Njombe kuelekea  Dar es  salaam, na kuligonga kwa mbele gari alilokuwemo.



Mashuhuda wa ajali hiyo  waliwaambia waandishi wa habari wakiwa eneo la tukio,  kuwa  chanzo cha ajali hiyo ni basi la abiria mali ya kampuni ya Happy Africa, kuingilia msafara huo wa mkuu wa mkoa uliokuwa ukielea mjini baada ya kukagua shughuli za ujenzi wa vyumba vya maabara na kuzungumza na wananchi wa Kata ya Bigwa katika  Shule ya Sekondari Sumaye.



Mkuu wa mkoa kwa takribani wiki mbili amekuwa katika ziara katik halmashauri saba za mkoa huo kwa ajili ya kukagua shughuli za ujenzi na umaliziaji wa maabara tatu kwa kila shule ya skondari ya Kata na pia kutumia fursa hiyo kujitambulisha , kusikiliza kero na kuzipatia majawabu ya msingi.



Januari 29 na 30 mwaka huu ilikuwa ni zamu ya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na Shule ya sekondari Sumaye kilikuwa ni kituo chake cha mwisho katika ziara hiyo na baadaye kufanyika kwa majumuisho ya ziara hiyo Januari 31, mwaka huu mjini Morogoro.



Hata hivyo baada ya kufikishwa hospitali ya rufaa ya mkoa , viongozi mbalimbali walifika kuwajulia hali  wakati wakiendelea kupatia matubabu na madaktari mbingwa wa hospitali hiyo, akiwemo Mganga mkuu wa mkoa , Godfrey Mtei.



Mstahiki Meya Nondo ameumia sehemu ya kichani na mkononi , wakati na mpiga picha Anita Chali, ameumia  kichwani, huku dereva pamoja na  Hussein wakiumia zaidi  kwenye paji la uso na kichwani huku Hussein akisaidiwa na mashine ya kupumulia (oxygen).



 Kufuatia tukio hilo Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa mkoa imesema itatoa taarifa ya ajali hiyo  jumamosi ya  Januari  31, mwaka huu.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ( wa kwanza kushoto) akiwa na Mkuu wa wilaya ya Morogoro , Said Amanzi , wakipita eneo ambalo gari la namba SM 4151 Nissan iliyokuwa ikitumiwa na Meya wa Manispaa ya Morogoro, Amir Nondo , ilipogongwa Januari 30, mwaka huu saa 9: 30 alasiri eneo la Mzambarauni Darajani -Msamvu barabara kuu ya Moro- Dar na Basi la Abiria aina ya Scania yenye namba za usajili T 831 CEH (Happy Africa ),iliyokuwa ikitokea mkoani Njombe kwenda Dar es Salaam .Meya huyo na watu wengine watatu walijeruhiwa na kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro na kulazwa wakindelea kupatiwa matibabu.
Wasamalia wakimuwahisha Hospital,Mmoja wa majeruhi mara baada ya kupata ajali eneo la Mzambarauni Darajani -Msamvu barabara kuu ya Moro- Dar na Basi la Abiria aina ya Scania yenye namba za usajili T 831 CEH (Happy Africa ),iliyokuwa ikitokea mkoani Njombe kwenda Dar es Salaam .
Hili ndilo basi lililogongana na Gari ya Meya wa Manispaa ya Morogoro, Amir Nondo.
Meya wa Manispaa ya Morogoro, Amir Nondo ,(45) akiwa amelazwa wodi namba tano ya daraja la kwanza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro baada ya kujeruhiwa kufuatia gari yake SM 4151 ilipogongwa Januari 30, mwaka huu saa 9: 30 alasiri eneo la Mzambarauni Darajani , Msamvu Barabara kuu ya Moro- Dar na Basi la Abiria aina ya Scania yenye namba za usajili T 831 CEH (Happy Africa ),iliyokuwa ikitokea mkoani Njombe kwenda Dar es Salaam ,mbali na Meya huyo na watu wengine watatu ,Dereva Mwambala Ally (55), na waandishi wa habari , Anita Chali (30) pamoja na HUSSEIN Nuha (28) pia walijeruhiwa na kulazwa katika hospitali hiyo kwa ajili ya kupatiwa matibabu. ( Picha na John Nditi).
Mwandishi wa habari,Anita Chali akiwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro baada ya kujeruhiwa kufuatia gari waliyoipata,walipokuwa kwenye kazi na Meya wa Manispaa ya Morogoro, Amir Nondo.
Habari na Masamablog

TOA MAONI YAKO HAPA

MGANGA WA DIAMOND PLATNUMZ ATUPWA JELA MIAKA 7 ..KOSA LAKE LIKO HAPA

Stori: Richard Bukos/Amani
Yule mganga aliyejitapa kumtengenezea nyota ya mvuto staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya amehukumiwa kifungo cha miaka saba (7) jela baada ya kukutwa na hatia katika kisa cha kuchanganya akihusishwa na wizi wa gari.
Ustadh Yahya akiwa chini ya ulinzi.
 TUJIUNGE MAHAKAMA YA WILAYA YA ILALA
Habari za uhakika zilieleza kwamba aliyehitimisha kesi hiyo ni Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar, Hassan Kisailo mapema Jumatatu wiki hii wakati jua la asubuhi likiwaka.

 HAKIMU ASHUSHA MIWANI
Huku kijasho chembamba kikimtiririka huku akishusha miwani kidogo kuona wahudhuriaji wa kesi hiyo, Hakimu Kisailo alitoa hukumu hiyo kwa maelezo kwamba, mnamo Januari 20, mwaka jana, maeneo ya Kariakoo jijini Dar, Yahya alidaiwa kuiba gari aina ya Toyota RAV4 lenye namba za usajili T 139 BSJ likiwa na thamani ya Sh. milioni 12, mali ya Edrick Elieza.

 Wakati Hakimu Kisailo akisoma hukumu hiyo, mshtakiwa na wadhamini wake hawakuwepo mahakamani hapo hivyo alisema mara tu baada ya hukumu wahusika hao watakamatwa ili wakatumikie adhabu inayowakabili.
 MAPITIO MTIRIRIKO WA KESI
Huku akiangalia kulia na kushoto, Hakimu Kisailo alisema kuwa, baada ya kuupitia mtiririko wa kesi hiyo, alibaini kwamba ni kweli mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo hivyo alimhukumu kwenda jela miaka 7.

 
...Ustadh Yahya akilaumu yambo.
 BOFYA HAPA KUMSIKIA HAKIMU
Kama ilivyo desturi ya Magazeti ya Global kutaka kujua vitu kwa undani, mwanahabari wetu alizungumza hakimu huyo kuhusiana na hukumu hiyo ambapo alishusha tena miwani kidogo kisha kumwangalia kwa juu na kusema:

 “Ni kweli huyo mnayemuita sijui Mganga wa Diamond nimemhukumu kwenda jela miaka 7, ingawa hakuwepo hapa mahakamani.
“Nasikia alitoroka tangu alipowekewa dhamana lakini kifungo hicho kitaanza muda wowote atakapokamatwa.”

 WADHAMINI NAO WANALO
Hakimu Kisailo alisema kwamba, Ustadh Yahya aliwekewa dhamana na watu wawili, Moses Msangi na Seme Kisusandi ambao wanatakiwa kulipa faini ya shilingi milioni moja kila mmoja au kwenda jela miezi sita wakati sangoma huyo akisakwa.

 Hakimu Kisailo alisema licha ya jamaa huyo kuingia mitini, wadhamini wake nao hawakuwepo mahakamani hapo na kusema kuwa mkono wa sheria ni mrefu utawafikia popote pale walipo.
 MANENO KUNTU
Mmoja wa mashuhuda wa kike aliyekuwa kwenye chumba cha hakimu huyo alisikika akisema: “Huyo mganga wa Diamond hana lolote, iweje ashindwe kuzima kesi yake na kufikia hatua ya kuhukumiwa kifungo hicho wakati huwa anajidai ni mkali kwenye mambo ya kuwatengenezea watu nyota?
“Unaweza kukuta huko mitaani anajifanya kuwaambia wateja wake ana uwezo wa kuzima ‘makesi’ makubwa-makubwa kumbe hata kesi yake mwenyewe inamshinda.”

 
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
 DIAMOND ATUPIWA LAWAMA
Shuhuda huyo alikwenda mbele zaidi na kumtupia lawama Diamond kwamba alishindwaje kumsaidia mtu aliyempaisha hadi sasa hivi anawiki kimataifa?
 DIAMOND ANASEMAJE
Amani lilimsaka Diamond ili kumfikishia ‘ubuyu’ kuwa mganga wake amehukumiwa miaka sasa jela lakini simu yake ya kiganjani iliita bila kupokelewa na hata alipofuatwa nyumbani kwake, Sinza-Mori, Dar, hakuwepo.
 TUMEFIKAJE HAPA?
Ustadh huyo alidaiwa kukamatwa na gari hilo alilodai kufika mikononi mwake kutoka kwa mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mwanahamis. Ustadh alikamatwa  akikatiza nalo Tabora mjini ndipo akawekwa nyuma ya nondo za mahabusu kabla ya kusafirishwa jijini Dar kwa hatua zaidi za kisheria ambazo zimemhukumu kifungo hicho.
Habari na masamablpg.com

TOA MAONI YAKO HAPA

WAFUASI 29 WA CUF WAACHIWA KWA DHAMANA


WAFUASI 29 kati ya 30 waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam wameachiwa leo baada ya kutimiza masharti ya dhamana.


Wafuasi hao walikamatwa majuzi huko Mtoni Mtongani, Dar wakati Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba akielekea Mbagala kuwataka wananchi watawanyike baada ya maandamano ya chama hicho kuzuiliwa na jeshi la polisi.



Wafuasi hao 29 wameachiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar baada ya kila mmoja wao kutimiza masharti ya dhamana kwa kutoa kiasi cha shilingi 100,000 pamoja na barua ya mdhamini mmoja ambaye hana hatia.



Mpaka mwandishi wetu anatoka eneo hilo la mahakama, mmoja wa watuhumiwa alikuwa bado mikononi mwa polisi kwa kutokamilisha taratibu za dhamana hiyo akiendelea kumsubiri mdhamini wake aliyechelewesha barua ya udhamini.



Hakimu aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo amesema kesi yao itatajwa tena Februari 12, 2015
Habari na: masamablog.com

TOA MAONI YAKO HAPA

Friday 30 January 2015

Msanii Suge Knight akamatwa kwa mauaji

Suge Knight
Polisi nchini Los Angeles inasema kuwa msanii wa muziki wa rap kutoka Marekani Marion Suge Knight amekamatwa kutokana na mashtaka ya mauaji baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka.
Polisi wanasema kuwa bwana Knight alijibizana na watu wawili katika eneo la kuegesha magari na baadaye kumgonga mmoja wao huku mwengine akijeruhiwa vibaya.
Wakili wake anasema ilikuwa ajali na kudai kuwa mteja wake alishambuliwa na watu wawili.
Suge Knight ni mwanzilishi wa kampuni ya Death Row Records ambayo iliwazindua wasanii maarufu wa mziki wa rap akiwemo Snoop Dogg na marehemu Tupac Shakur.

Baba ajiua kutokana na picha za mwanawe

Loredana Chivu ni mwanamitindo nchini Romania
Baba mmoja amejiua baada ya kuona picha za uchi zamwanawe wa kike katika jarida la Playboy nchini Romania.
Loredana Chivu alirarua ukurasa uliokuwa na picha yake akiwa 'amepos' katika jarida hilo la Playboy na punde babake alipogundua kuhusu picha hizo, alizongwa na mawazo na hata kumkana mwanawe.
Kwa mujibu wa mtandao wa Mirror, msichana huyo mwenye umbo la kuvutia alisema, '' babangu aliacha kuongea na mimi na kuonekana mwenye hasira sana''.
"alipogundua kuwa picha hizo zilikua zangu, alijitenga sana na kujaribu kunitenga na mimi''.
Nilidhani labda angesahau na sikudhani hata siku moja angejitoa uhai.
Loredana Chivu anasema anajuta sana kwani babake hakuwahi kuongea naye baada ya kupata picha zake
Mwanamitindo huyo Loredana Chivu mwenye mamia ya picha akiwa nusu uchi kwenye akaunti yake ya Instagram, alikuwa na uhusiano wa karibu sana na babake lakini alisema yote hayo yalibadilika baada ya babake kuona picha zake akiwa nusu uchi.
Alipokwenda kumtembelea babake miezi michache baadaye, baada ya kuamua kwamba kimya kilikuwa kimeendelea kwa muda mrefu sana, alishtuka sana kumpata babake akiwa amejitoa uhai
"nilipata akiwa na kamba shingoni akiwa ananing'inia chumbani''.
Loredana,anayeishi nchini Romania, anasema kuwa tangu kifo cha babake, amekuwa akiwaza na kuwazua kwamba aliamua kujiua kwa sababu ya mgogoro kati yetu na hasa kuhusu picha zangu zilizoziona kwenye jarida la Playboy.
''Najuta sana kwamba hakuwahi kupata muda wa kuzungumza na babangu kuhusu yaliyotokea''.
''Hakuwacha ujumbe wowote kabla ya kujitoa uhai, siku zote tulikuwa na uhusiano mzuri lakini yote yalibadilika baada ya baba kuona picha zangu nikiwa uchi. Bado inaniuma sana na singemtakia mtu yeyote kupatwa na kama yaliyonikuta''.

ANGALIA PICHA- BIBI ANAYEDHANIWA KUWA MCHAWI AKUTWA AKIWA UCHI..CHEKI TUKIO LOTE HAPA

Hatimaye bibi akaweza kusimama na kuanza kufanya vituko vya kila aina
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Bibi akaamua kukaa na kuanza kutoa pesa alizokuwa amezifunga kiunoni kwa kwenye mfuko mlaini-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Zilikuwa ni shilingi za hamsini hamsini,mia moja ,mia mbili,mia tano na elfu akaziweka kwenye kibakuli kilichokuwa eneo la tukio
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Kushoto ni mjumbe wa serikali ya mtaa wa Mageuzi Waziri Musa(CHADEMA) akisaidiana na wananchi wa eneo hilo kumwondoa bibi huyo kwenye nyumba ya mkazi wa eneo hilo
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga



Bibi akiwa amelala juu ya mawe kabla askari polisi hawajafika eneo la tukio leo mchana japokuwa bibi huyo amekutwa nyumbani kwa mtu saa moja asubuhi-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Askari polisi wakimwangalia bibi huyo
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Askari polisi wakitoa maelekezo kwa wananchi wa mtaa huo ambapo walisema serikali haiamini ushirikina hivyo kuwataka wananchi waondoke eneo la tukio na kumwacha bibi aendelee na safari yake kwani tayari alikuwa ameanza kutembea
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Askari polisi akiwa amembeba bibi huyo kumtoa kwenye mawe,na katika hali ya kushangaza bibi huyo alimng'ang'ania askari huyo-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

TOA MAONI YAKO HAPA

HUU NDIO UKWELI KUHUSU TEVEZ ALIYEKATWA UUME WAKE BAADA YA KUWADHULUMU MADAWA YA KULEVYA WENZAKE

HABARI ZA UHAKIKA JUU YA SAKATA LA JUMAANNE TEVEZ. Nikweli kwamba huyu bwana yuko South Africa Pretoria. Bwana Tevez alodhaminiwa mzigo na vijana wenzake huko Bondeni kwamba akauze kisha alete Mpunga. Mdhamini alikuwa ni Kijana wa Kibongo anayeonekana pichani anayeitwa Jeff Katili mtoto wa Ilala ambaye maskani yake ni South. TEVEZ baada ya kuchukua mzigo uliokuwa na thamani ya takriban milioni mia moja na hamsini (150,000,000/=) aliingia mitini hakurudi tena. Kilichotokea Jeff baada ya kubanwa na wana akawaambia kuwa tulieni nitamleta tu.

 Basi Jeff akamrubuni Tevez kuwa njoo Kuna kazi.. Tevez akaingia mzima mzima akaenda hadi Pretoria wiki iliyopita na kufikia kwa Jeff Katili na kupata mapokezi mazuri kama kawaida. Baada ya kufika walitoka kwenda matembezi KWAZULU NATAL... wakiwa huko walifikia kwa washkaji zao wa kibongo lakini kwenye nyumba ambayo ilikuwa kama holi haina chochote ndani. Chini lilitandikwa karatasi la nailoni ili kuepusha damu isitapakae. Alibanwa juu ya mzigo na mtesaji mkubwa alikuwa Jeff Katili mwenyewe ambaye ni mdhamini. Tevez hajang'olewa jicho bali alipigwa Ngumi hadi jicho likaenda ndani... NGUMI YA MTOTO WA KIUME.

Ameteswa sana na amekatwakatwa na viwembe mwili mzima. Zakari yake haijakatwa kama picha zilivyoonyesha bali imekatwa na viwembe. Taarifa zilitumwa kwa kaka yake na akina Jeff na kuwataka watume pesa la sivyo wanamuua. familia kupitia kaka yake imeshatuma pesa nusu na sas anatibiwa hukohuko South na atarejea punde. Uzushi kuwa amekufa hauna ukweli na hizi ni habari kamili kutoka kwa watu wa karibu na familia hiyo.
Chanzo cha Habari ni msamablog.com

TOA MAONI YAKO HAPA

Thursday 29 January 2015

PROFESA LIPUMBA HOI AKIWA MAHAKAMANI, AKIMBIZWA HOSPITALI.....KESI YAKE YAAHIRISHWA

Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof.Ibrahimu Lipumba hali yake 
kiafya sinzuri baada ya kubadilika gafla wakati akiwa katika mahakama kuu ya
Kisutu Jijini Dar es Salaam na hivyo kukimbizwa katika Hospitali ya UN 
kinondoni DSM.
Lipumba alifikshwa mahakamani  hapo na kusomewa mashitaka ya kuongoza 
 maandamano haramu.Profesa huyo  akiwa na wafuasi wake wameachiwa kwa 
 dhamana na kesi yao itasomwa tena tarehe 26 February Mwaka 2015
 
Ikumbukwe  kwamba, Lipumba  alikamatwa  jana  na  jeshi  la  polisi  kanda
  maalumu  ya  Dar  es  salaam  wakati alipokuwa akielekea eneo la 
Zakhem, Mbagala, kulikokuwa kumeandaliwa mkutano wa hadhara, kutoa
 taarifa kwa wafuasi waliokuwa wamekusanyika, kuwa mkutano na
 maandamano yamezuiliwa na Polisi.

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU SHULE BINAFSI NCHINI..SABABU ZOTE HIZI HAPA

Serikali imezipiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza ama kuwasitishia masomo wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani na kwamba shule zote zitakazokiuka agizo hilo zitachukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kufutiwa usajili.

Serikali pia imesema kuwa kuanzia mwaka 2016 itaanza kutoa elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha Nne.
 
Onyo hilo la serikali kwa wamiliki wa shule binafsi za serikali limetolewa na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bungeni mjini Dodoma katika kikao cha kwanza cha mkutano wa 18 ulianza Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu kutokana na swali la msingi la Mh Conchesta Rwamlaza.
 
Waziri huyo amesema ni marufuku kwa mameneja na wamiliki wa shule binafsi za sekondari kukaririsha, kuhamisha ama kuwafukuza shule wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani wa shule husika kwa kuwa kiwango cha ufaulu kilichowekwa na serikali ni wastani wa asilimia 30.
Aidha mbunge wa handeni Dr Henry Shekifu ameitaka serikali kutoa tamko la lini itaanza kutoa elimu bure ya kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha nne ili kuwawezesha watoto wote wa Tanzania kupata elimu ambapo serikali imesema utekelezaji wake utaanza mwakani.
Awali kabla ya kuanza kwa shughuli za bunge spika wa bunge hilo Mh Anne Makinda amemwapisha mwanasheria mkuu mpya wa serikali George Mcheche Masaju.
Mara baada ya kuapishwa nje ya bunge akijibu swali la waandishi wa habari kuhusu muswaada wa sheria ya mahakama ya kadhi ambao umeanza kuibua mawazo kinzani kwa baadhi ya viongozi wa dini hasa wa kikristo ndugu Masaju amesema wamepitia kwa umakini mswaada huo na kwamba hauna athari zozote kwa mtu, vikundi vya dini na taifa kwa ujumla na hautaingilia mambo yanayosimamiwa na serikali ikiwemo makosa ya jinai na taifa litaendeleaa kuwa wamoja.

Mali's MNLA Tuareg rebels hit by suicide bombers


An MNLA fighter in Kidal, northern Mali, on 27 July 2013 Tuareg rebels have been in conflict with the government since independence
Suicide bombers and armed attackers have killed about a dozen people in an assault on rebel positions in northern Mali, security sources have said.
This is the first suicide bombing blamed on the pro-government Gatia militia fighting Tuareg rebels.
However, it may have been infiltrated by militant Islamists who joined the attack, correspondents say.
Northern Mali has been hit by conflict between government forces, Tuareg separatists and militant Islamists.
French-led troops beat back al-Qaeda-linked groups who had seized control of most of the region in 2012 with the backing of the National Movement for the Liberation of Azawad (MNLA), the main rebel group campaigning for the rights of ethnic Tuaregs.
'Very volatile' The MNLA and the al-Qaeda-linked groups later fell-out, and animosity between them now runs strong, correspondents say.
The UN has a 9,000-strong force trying to restore stability in Mali.
United Nations soldiers patrol on 27 July 2013 in the northern Malian city of Kidal The UN is battling to end the conflict
Correspondents say there are strong suspicions that the government is increasingly relying on militia groups such as Gatia to strengthen its position against the MNLA in the north.
A UN source told the AFP news agency that two bombers blew themselves up in the attack near Tabankort town while a third was killed before he could detonate himself.
"Gatia fighters, accompanied by suicide bombers, attacked a rebel Tuareg and anti-government Arab position in the night from Tuesday to Wednesday near the town of Tabankort. There were a dozen deaths in total," a Western military source told AFP.
"The situation is very volatile, and it is essential to calm the situation," added the source.
map
The BBC's Alex Duval Smith in the capital, Bamako, says details around the attack are still unclear.
However, only al-Qaeda-linked groups have up to now carried out suicide bombings in Mali, and it is likely that they have infiltrated Gatia.
On Tuesday, three people were killed during clashes between protesters and UN troops in Tabankort, a stronghold of Gatia.
The protested stormed the UN base in Tabankort, accusing it of planning to create a buffer zone that would favour the MNLA. The UN denied there was such a plan.
Last week, the UN launched air strikes to push back MNLA fighters who had launched an assault to capture Tabankort from Gatia, the French acronym for Imghad and Allies Tuareg Self-Defence Group.
Northern Mali has been a flashpoint of conflict since Mali's independence from French rule in 1960, with Tuareg rebels campaigning for independence or more autonomy.
The conflict has become more complex with emergence of jihadi groups, which roam freely across large parts of the Sahara desert.

Cameroon 0 1 Ivory Coast


Max Gradel

Ivory Coast beat Cameroon to earn a place in the Africa Cup of Nations quarter-finals as Group D winners.
Max Gradel scored the goal that gave the Elephants the only victory in the six matches in the group, and saved them from having to draw lots.
He smashed in a drive from 20 yards to set up a last eight match with Group C runners-up Algeria on Sunday.
Edgar Salli missed two good chances to equalise, hesitating when clean through and also blazing over from in the box.
Those glaring misses left Cameroon bottom of the group - their worst finish at a Nations Cup finals - and it also means lots will need to be drawn on Thursday to decide whether Mali or Guinea, who played out the fifth 1-1 stalemate of Group D, take the other quarter-final place.
Ivory Coast will be relieved to have avoided that lottery, having gone out in 1988 by that method, as they did just enough to earn the win that guaranteed them passage to the knock-out stages for the sixth successive time.
Ivory Coast players celebrate Gradel's goal
There were 61 fouls in this game, the most Opta has ever recorded in an Afcon match
They had the better of the early exchanges, Serge Aurier crossing for Wilfried Bony, whose effort via his hip was pushed round the post by keeper Fabrice Ondoa, before right-back Aurier was himself denied as the Cameroon stopper dived low to keep out a header.
But neither side was brimming with confidence and the first half-hour lacked fluency and decisiveness.
It was a moment of uncertainty from Cameroon defender Jerome Guihoata that cost his side dear when he lost the ball to Gradel 25 yards out and the forward sent a rasping drive into the left corner to open the scoring.
Cameroon had a chance to restore parity three minutes later, but Salli took too long to get his shot away when clean though and Sylvain Gbohouo rushed out to save with his legs.
Salli was guilty of a worse miss when he blazed high and wide from the edge of the box with the last kick of the half - and it proved to be his final touch as he was replaced by Vincent Aboubakar at the start of the second period.
It was a change that was destined not to work for Cameroon as Aboubakar could do no better than Salli, spurning his side's only clear second-half chance, scuffing a shot from eight yards out.
Cameroon were simply unable to find a spark to ignite their play and in the end the Indomitable Lions limped out of the tournament.
Ivory Coast will hope that Yaya Toure has not done the same, as the Manchester City midfielder looked to be carrying an injury when he was substituted on 82 minutes.
Cameroon's Stephane Mbia and Yaya Toure of Ivory Coast
Yaya Toure (right) was again not at his best for Ivory Coast and also looked to have picked up an injury