Tuesday 12 January 2016

SHIDA YA MAJI VIJINI TANZANIA.


http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_04491.jpg
                                              Tabu ya maji kijiji cha Ilota Mbeya Vijijini 
Moja ya visima vinavyotumiwa na wanawake kuteka 
             Tatizo la maji Vijijini je Linachangia kwa kiasi gani kudumaza uchumi wa inchi yetu? 
 


Bidhaa ya maji ni hadimu sana iwe vijijini na hata mjini katika Wilaya ya Newala. Pichani mwanamke akiwa na madumu manne akielekea kusaka maji kwa ajili ya ...
Wananchi wa Namkongo walipata shida ya kutafuta maji hii picha inaonyesha aina ya visima ambavyo wananchi wanavitumia.

                                      

Tukishirikiana tutaweza kupunguza tatizo hili.

No comments:

Post a Comment