Friday 26 June 2015

WARSHA YA KUPITIA RIPOTI YA TAKWIMU ZA KEMIKALI ZINAZOKAA KWA MUDA MREFU KATIKA MAZINGIRA YAFANYIKA DAR ES SALAAM

  WARSHA YA KUPITIA RIPOTI YA TAKWIMU ZA KEMIKALI ZINAZOKAA KWA MUDA MREFU KATIKA MAZINGIRA YAFANYIKA DAR ES SALAAM

p
Sehemu ya Washiriki wa Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za Kemikali zinazokaa muda mrefu katika Mazingira wakifuatilia hotuba ya Mgeni Rasmi Mhandisi Angelina Madete (hayupo pichani) katika hafla ya ufunguzi iliyofanyika katika Ukumbi wa Medical Reseach.jijini Dar es Salaam.
l
Washiriki wakiwa katika vikundi wakipitia na kurekebisha Ripoti hiyo.
h
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Angelina Madete (wanne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za Kemikali. Warsha hiyo ya siku moja imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa National Institute for Medical Research, jijini Dar es Salaam na imehusisha wadau kutoka sekta mbalimbali.

No comments:

Post a Comment