Friday 26 June 2015

MOTO WALITEKETEZA SOKO LA MKUTI MJINI MASASI MKOANI MTWARA

                MOTO WALITEKETEZA SOKO LA MKUTI MJINI MASASI MKOANI MTWARA
 Moto mkubwa ukiwa umeliteketeza kabisa soko la Mkuti mjini Masasi mkoani Mtwara juzi usiku.
                Moto ukiendelea kuliteketeza soko la Mkuti mjini Masasi juzi usiku
 Wananchi wakiangalia uharibifu wa mali uliotokea baada ya soko la Mkuti mjini Masasi kuteketea kwa moto usiku wa juzi.

Habari na: http://rweyunga.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment