Friday 30 January 2015

ANGALIA PICHA- BIBI ANAYEDHANIWA KUWA MCHAWI AKUTWA AKIWA UCHI..CHEKI TUKIO LOTE HAPA

Hatimaye bibi akaweza kusimama na kuanza kufanya vituko vya kila aina
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Bibi akaamua kukaa na kuanza kutoa pesa alizokuwa amezifunga kiunoni kwa kwenye mfuko mlaini-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Zilikuwa ni shilingi za hamsini hamsini,mia moja ,mia mbili,mia tano na elfu akaziweka kwenye kibakuli kilichokuwa eneo la tukio
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Kushoto ni mjumbe wa serikali ya mtaa wa Mageuzi Waziri Musa(CHADEMA) akisaidiana na wananchi wa eneo hilo kumwondoa bibi huyo kwenye nyumba ya mkazi wa eneo hilo
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga



Bibi akiwa amelala juu ya mawe kabla askari polisi hawajafika eneo la tukio leo mchana japokuwa bibi huyo amekutwa nyumbani kwa mtu saa moja asubuhi-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Askari polisi wakimwangalia bibi huyo
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Askari polisi wakitoa maelekezo kwa wananchi wa mtaa huo ambapo walisema serikali haiamini ushirikina hivyo kuwataka wananchi waondoke eneo la tukio na kumwacha bibi aendelee na safari yake kwani tayari alikuwa ameanza kutembea
-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

Askari polisi akiwa amembeba bibi huyo kumtoa kwenye mawe,na katika hali ya kushangaza bibi huyo alimng'ang'ania askari huyo-picha na Kadama Malunde-Shinyanga

TOA MAONI YAKO HAPA

No comments:

Post a Comment