Sunday 24 November 2013

Moto mbaya ilitokea juzi K.koo hapo dogo akitolewa ndani ya nyumba yao iliyokuwa inaungua moto alikimbizwa hospital mida asubuhi madaktari walisema moto umeingia asilimia 92% usiku wa juzi akafariki tulimpenda Mungu alimpenda zaidi na alizikwa jana saa kumi jioni katika makaburi ya kisutu R.I.P mdogo wetu.

No comments:

Post a Comment