Monday 25 November 2013

MATATIZO YA SOKA LA BONGO NI HAYA HAPA Mchezaji wa Under 20 wa JKT Ruvu akisaidiwa baada ya kuumia wakati wa michuano ya Uhai Cup, wakati JKT Ruvu ilipocheza na Yanga jana.

Michuano hii ikiwa na Lengo la kuandaa vipaji, Lakini unadhani Lengo litafikiwa kweli hivi?

(Picha: kwa hisani ya BinZubeiry)
Mchezaji wa Under 20 wa JKT Ruvu akisaidiwa baada ya kuumia wakati wa michuano ya Uhai Cup, wakati JKT Ruvu ilipocheza na Yanga jana. Michuano hii ikiwa na Lengo la kuandaa vipaji, Lakini unadhani Lengo litafikiwa kweli hivi? (Picha: kwa hisani ya BinZubeiry)

No comments:

Post a Comment