Saturday, 27 June 2015

RAIS KIKWETE AONGOZA SIKU YA KUPIGA VITA MADAWA YA KULEVYA DUNIANI MJINI BAGAMOYO LEO

 RAIS KIKWETE AONGOZA SIKU YA KUPIGA VITA MADAWA YA KULEVYA DUNIANI MJINI BAGAMOYO LEO  

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipungia mkono wakati wa kupokea maandamano ya waathirika wa madawa ya kulevya walio katika matibabu kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Dunia ni katika Viwanja vya Taasisi ya sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBA) mjini Bagamoyo leo Juni 26, 2016.
Wasanii wanafunzi wa Mwaka wa tatu wakichezaa igizo la athari za madawa ya kulevya mbele ya Rais Kikwete wakati wa Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Dunia ni katika Viwanja vya Taasisi ya sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBA) mjini Bagamoyo leo Juni 26, 2016.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipena mikono na timu za michezo zilizoshinda michezo ya waathirika wa madawa ya kulevya walio katika matibabu kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Dunia ni katika Viwanja vya Taasisi ya sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBA) mjini Bagamoyo leo Juni 26, 2016.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua mpango wa mawasiliano kuhusu athari za magonjwa mbalimbali hatarishi kupitia simu ya mkononi akiwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif Selemani Rashid na Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Youth Alliance (TAYOA) Bw. Peter Masika kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Dunia ni katika Viwanja vya Taasisi ya sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBA) mjini Bagamoyo leo Juni 26, 2016. PICHA NA IKULU
Habari na:http://rweyunga.blogspot.com

Friday, 26 June 2015

LOWASSA AZIDI KUJIPATIA WADHAMINI LUKUKI, WANACCM 42, 405 WAMDHAMINI MKOANI MANYARA.JUNI 25, 2015


Msafara wa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa ukipokelewa kwa shangwe na wanaCCM na Wananchi wa Mji wa Babati, Mkoani Manyara, wakati alipowasili kwenye mji huo kusaka wadhamini watakaomuwezesha kutapa ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Sehemu ya Wakazi wa Mji wa Babati wakimshangilia Mh. Lowassa pale walipomuona.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa na baadhi la viongozi wa CCM Mkoa wa Manyara wakati alipowasili kwenye Ofisi Kuu za Chama hicho, Mjini Babati leo Juni 25, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akimsalimia Kijana Jacob Jeremiah ambaye ni mlemavu wa miguu, alipokutana nae nje ya Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Manyara, iliopo Mjini Babari leo Juni 25, 2015, wakati akiwa katika ziara ya kusaka wadhamini watakaomuwezesha kutapa ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa (wa pili kulia), Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha,Onesmo Ole Nangole pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu wakitembea sambamba na wanaCCM wengine kuelekea kwenye uwanja wa CCM Wilaya ya Babati, tayari kwenda kukabidhiwa fomu za Wadhamini, leo Juni 25, 2015.
                                                                                                 Safari ikiendelea.
Mh. Lowassa akisaini kutabu cha Wageni cha Ofisi ya CCM Wilaya ya Babati, Mkoani Manyara.
Muimbaji wa Nyimbo za Injili, Bahati Bukuku akiimba moja ya nyimbo zake wakati akiwasalimia WanaCCM na Wananchi wa Mji wa Babati, Mkoani Manyara leo Juni 25, 2015.
Sehemu ya WanaCCM na Wananchi wakazi wa Mji wa Babati Mkoani Manyara, wakiwa kwenye Uwanja wa CCM Wilaya ya Babati.
Mjumbe wa NEC kutoka Wilaya ya Mlele, Mkoani Katavi, Kampala Thomas Maganga akiwasalimia wanaCCM wa Mji wa Babati Mkoani Manyara.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu akisema neno wakati akiwasalimia wanaCCM na Wananchi wa Mji wa Babati, Mkoani Manyara leo Juni 25, 2015.
                                                                      WanaCCM wa Babati Mkoani Manyara.
Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, Mh. Kiseryi Chambiri akizungumza jambo wakati Mh. Lowassa alipofika kuomba udhanini wa WanaCCM wa Mji wa Babati, Mkoani Manyara leo Juni 25, 2015.
                                                                                                            Meza kuu.
Tabasamu la Mh. Lowassa baada ya maneno ya Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, Mh. Kiseryi Chambiri.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akipeana mkono na Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, Mh. Kiseryi Chambiri.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Edward Lowassa akipokea fomu ya udhamini kutoka kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Babati Mjini, Daniel Ole Porokwa, leo Juni 25, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wanaCCM 42, 405 wa Mkoa wa Manyara.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Edward Lowassa akizungumza wakati akiwashukuru wanaCCM wa Mkoa wa Manyara, waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Lowassa amepata wadhamini 42, 405 , Mjini Babati Mkoani Manyara leo, Juni 25, 2015.
Habari na: http://rweyunga.blogspot.com

MOTO WALITEKETEZA SOKO LA MKUTI MJINI MASASI MKOANI MTWARA

                MOTO WALITEKETEZA SOKO LA MKUTI MJINI MASASI MKOANI MTWARA
 Moto mkubwa ukiwa umeliteketeza kabisa soko la Mkuti mjini Masasi mkoani Mtwara juzi usiku.
                Moto ukiendelea kuliteketeza soko la Mkuti mjini Masasi juzi usiku
 Wananchi wakiangalia uharibifu wa mali uliotokea baada ya soko la Mkuti mjini Masasi kuteketea kwa moto usiku wa juzi.

Habari na: http://rweyunga.blogspot.com/

WARSHA YA KUPITIA RIPOTI YA TAKWIMU ZA KEMIKALI ZINAZOKAA KWA MUDA MREFU KATIKA MAZINGIRA YAFANYIKA DAR ES SALAAM

  WARSHA YA KUPITIA RIPOTI YA TAKWIMU ZA KEMIKALI ZINAZOKAA KWA MUDA MREFU KATIKA MAZINGIRA YAFANYIKA DAR ES SALAAM

p
Sehemu ya Washiriki wa Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za Kemikali zinazokaa muda mrefu katika Mazingira wakifuatilia hotuba ya Mgeni Rasmi Mhandisi Angelina Madete (hayupo pichani) katika hafla ya ufunguzi iliyofanyika katika Ukumbi wa Medical Reseach.jijini Dar es Salaam.
l
Washiriki wakiwa katika vikundi wakipitia na kurekebisha Ripoti hiyo.
h
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Angelina Madete (wanne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za Kemikali. Warsha hiyo ya siku moja imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa National Institute for Medical Research, jijini Dar es Salaam na imehusisha wadau kutoka sekta mbalimbali.

Thursday, 25 June 2015

Usiogope Kufungua Kampuni au Biashara Ghalama zake ni hizi hapa:

BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY
                                   TAARIFA KWA UMMA
Kufuatia Mangazo ya Serikali Namba 126 na 127 ya tarehe 25 Aprili 2014, ada mbalimbali zinazotozwa chini ya Sheria ya Makampuni (Sura 212) na Sheria ya Kuandikisha Majina ya Biashara (Sura 213) zimebadilika. Ada hizi mpya zitaanza kutumika rasmi kuanzia tarehe 1 Julai 2015, na zitakuwa kama ifuatavyo:-
A: Sheria ya Makampuni (Sura 212)
1.      Kampuni ambayo mtaji wake ni :
(a)    Zaidi ya Tsh. 20,000/= lakini hauzidi Tsh.  1,000,000/=                  95,000/=
(b)   Zaidi ya Tsh. 1,000,000/= lakini hauzidi Tsh   5,000,000/=                       175,000/=
(c)    Zaidi ya Tsh. 5,000,000/= lakini hauzidi Tsh  20,000,000/=                       260,000/=
(d)   Zaidi ya Tsh. 20,000,000/= lakini hauzidi Tsh 50,000,000/=               290,000/=
(e)    Zaidi ya Tsh. 50,000,000/=                                                                          440,000/=
2.      Kwa usajili wa kampuni isiyokuwa na mtaji                                         300,000/=
3.      Kutunziwa jina la kampuni                                                                     50,000/=
4.      Kubadilisha jina la kampuni                                                                   22,000/=
5.      Msajili kupokea au kusajili waraka wowote unaotakiwa
kisheria kupelekwa kwake                                                                      22,000/=
6.      Ada ya kuchelewa kupeleka  waraka wowote unaotakiwa kisheria
kupelekwa kwa Msajili (kwa mwezi au sehemu ya mwezi)                    22,000/=
7.      Kuwasilisha Mizania ya kampuni                                                           22,000/=
8.      Kuthibitisha waraka wowote, kwa kila ukurasa                                                   3,000/=
9.      Kufanya upekuzi kwenye jalada lolote                                                                  3,000/=
10.  Kupata taarifa za kampuni kwa maandishi,kila jalada                             22,000/=
11.  Kusajili Hati ya Dhamana (Charge) iliyowekwa na kampuni                       22,000/=
12.  Kupata nakala ya Cheti cha usajili wa kampuni                                                     4,000/=
13.  Ada zinazolipwa na kampuni zinazoandikishwa chini ya sehemu ya XII ya Sheria    :
(a)    Kusajili katiba au waraka wowote unaotambulika kama ndio
 Katiba ya kampuni yao                                                                             $ 750.00
(b)   Kusajili au kuwasilisha waraka wowote unaopaswa
Kuwasilishwa kwa Msajili chini ya sehemu ya XII ya sheria,
Isipokuwa mahesabu ya kampuni                                                               $ 220.00        
(c)    Kuwasilisha Mahesabu ya Kampuni                                                            $ 220.00
(d)   Ada ya kuchelewesha kuwasilisha kwa Msajili waraka wowote
Unaopaswa kuwasilishwa kwake (kwa mwezi au sehemu ya mwezi)                    $  25.00
B: Sheria ya Kuandikisha Majina ya Biashara (Sura 213)
1.      i.          Ada ya usajili wa Jina la Biashara                                                        15,000/=
ii.         Ada ya mabadiliko ya taarifa zilizosajiliwa                                         15,000/=
iii.        Upekuzi kwenye daftari la Majina ya Biashara                                                  2,000/=         
iv.        Ada ya kupata nakala ya nyaraka ambayo haijathibitishwa
            kwa kila ukurasa au sehemu ya ukurusa                                                             3,000/=
v.         Kuthibitisha nyaraka ya aina yoyote                                                      4,000/=
vi.        Ada ya kufuta jina la biashara                                                             10,000/=
vii.       Ada ya kupata nakala ya cheti cha usajili                                            15,000/=
viii.      Malipo ya kuchelewa kuwasilisha nyaraka katika muda
uliopangwa, kwa kila mwezi au sehemu ya mwezi                                1,000/=
ix.       Ada ya utunzaji wa jalada kwa mwaka                                                    5,000/=     
2.
(i)         Ushuru wa stempu hutozwa katika kila nakala ya cheti cha usajili
wa Jina la Biashara kitakachoombwa                                                                    500/=
                                                                    
        Imetolewa na
Msajili Makampuni / Majina ya Biashara
Simu: (+255-22)2181344 / 2180141 / 2180048 / 218004
PUBLIC NOTICE
Following Government Notices Number 126 and 127 published on 25 April 2014, fees payable under the Companies Act (Cap. 212) and Business Names (Registration) Act (Cap. 213, R.E. 2002) have been revised. The new fees will come into effect from the 1st July 2015, and will be as follows:-
A: Companies Act (Cap.  212)
1.      For the registration of a company having a capital whose nominal share capital is:
a)      More than 20,000/= but not more than 1M                                    95,000/=
b)      More than 1M but not more than 5M                                           175,000/=
c)      More than 5M but not more than 20M                                         260,000/=
d)     More than 20M but not more than 50M                                       290,000/=
e)      More than 50M                                                                             440,000/=
           
2.      For the registration of a company not having  a share capital ,Fee     300,000/=
3.      For reservation of a company name                                                      50,000/=
4.      For company name change                                                                   22,000/=
5.      For the receipt  and/or registration by Registrar of any document
            which under the Act is to be delivered to him                                   22,000/=
6.      For the late filling/registration fee to be paid to the Registrar of any
document delivered to him (per month or part thereof)                     22,000/=
                                                                                                                                   
7.      For filling of Annual Returns                                                             22,000/=
8.      For certification of any document, per page                                          3,000/=
9.      For making search in any file/perusal                                                     3,000/=
10.  For obtaining a written search report per file                                       22,000/=
11.  For registration of a Charge created by a Company                           22,000/=
12.  For obtaining a copy of Certificate of Incorporation                            4,000/=   
           
13.  For payable by a company to which Part XII of the Act
a.       For registration of certified copy of a charter ,status or
Memorandum and articles of the company, or other instruments
Constituting or defining the constitution of the company                   $ 750
b.      For registration of filling any document required to be delivered to
the Registrar under Part XII of the Act/other than the balance Sheet  $ 220
c.       For filling of Balance Sheet                                                                  $ 220
d.      For late filling/registration fee to be paid to the Registrar of any
document delivered to him out of time (per month or part thereof)     $ 25
B: Business Names (Registration) Act (Cap. 213, R.E. 2002)
Fees in TShs
1.      On application to register a business……………………………….. 15,000/=
2.      On application to register any alteration in particulars registered….              15,000/=
3.      For every inspection of the register…………………………………              2,000/=
4.      For an uncertified copy of an extract on the whole, of any document
in the custody of the Registrar, per page or part of a page………….              3,000/=
5.      For certifying any document or extract of a document……………..                          4,000/=
6.      On application to register of Notice of Cessation of Business ……..            10,000/=
7.      For issue of duplicate certificate of any registration………………...           15,000/=
8.      For making out of time any application which is required to be made
within a prescribed period, in addition to any other fee payable, for
every month or part of a month in default…………………………..              1,000/=
9.      Annual maintenance fee…………………………………………….                          5,000/=
              Issued by
Registrar of Companies / Business Names
Tel: (+255-22)2181344 / 2180141 / 2180048 / 218004