Tabu ya maji kijiji cha Ilota Mbeya Vijijini
Tatizo la maji Vijijini je Linachangia kwa kiasi gani kudumaza uchumi wa inchi yetu?
Wananchi wa Namkongo walipata shida ya kutafuta maji hii picha inaonyesha aina ya visima ambavyo wananchi wanavitumia.

Tukishirikiana tutaweza kupunguza tatizo hili.
No comments:
Post a Comment