Thursday, 9 October 2014

JANGA:WANAFUNZI WACHOMA MOTO SHULE , SERIKALI YAIFUNGA KWA MUDA WA MWEZI MMOJA

JANGA:WANAFUNZI WACHOMA MOTO SHULE , SERIKALI YAIFUNGA KWA MUDA WA MWEZI MMOJA



Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Njombe, Fulgence Ngonyani akiangalia bweni la wanafunzi wa shule ya sekondari Njombe ambalo limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia Jana.
 
Askari wa Jeshi la Polisi mkoani Njombe wakiwa wamewaweka chini ya ulinzi baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Njombe (Njosi) wakati wakisubiri kupelekwa kituo cha polisi.

Askari akimwangalia mmoja wa wanafunzi ambaye anapelekwa kupakizwa kwenye gari kwa ajili ya kwenda kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi.

Na Michael Ngilangwa NJOMBE

Kamishna wa Elimu Nchini Ameifunga Shule ya Sekondari ya Njombe (NJOSS) Kwa Muda wa Mwezi Mmoja Kutokana na Vurugu Zilizotokea Katika Shule Hiyo na Kusababisha Hasara ya Zaidi ya Shilingi Milioni Moja.

Akifunga Shule Hiyo Kwa niaba ya Kamishna wa Elimu Nchini, Afisa Elimu Shule za Sekondari Mkoani Njombe Said Nyasiro Amesema Wameifunga Shule Hiyo Kutokana Uharibifu Uliofanywa na Wanafunzi Ikiwemo Kuchoma Jengo la Bweni na Karakana Pamoja Kupisha Uchunguzi Juu ya Tukio Hilo.

Aidha Afisa Elimu Huyo Ameongeza Kuwa Kila Mwanafunzi Atatakiwa Kurejea Shuleni Hapo Akiwa na Mzazi Ama Mlezi Wake Pamoja na Shilingi Laki Moja na Elfu Hamsini Kwa Ajili ya Kufidia Mali Zilizoharibiwa .

Akizungumzia Chanzo cha Tukio Hilo Mkuu wa Shule ya NJOSS  Benard William Amesema Huenda Likahusishwa na Maamuzi ya Bodi ya Shule Hiyo Iliyokutana  Oktoba 7 Mwaka Huu na Kuwasimamisha Masomo Wanafunzi Waliotoroka Nyakati za Usiku na Kwenda Kwenye Disko Katika Chuo cha Maendeleo Mjini  NJombe, Huku Akisema Kuwa Uchunguzi Bado Unaendelea Kuhusiana na Tukio Hilo.

Hata Hivyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe Linawashikilia Kwa Mahojiano ya Kina Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Njombe NJOSS  Wanaosadikiwa Kuhusika Katika Tukio Hilo.

Mwanzoni Mwa Mwaka Huu Kulitokea Ajali ya Moto Katika Shule ya Sekondari Njombe na Kusababisha Uharibifu wa Baadhi ya Majengo Wakati Wanafunzi Wakiwa Katika Masomo ya Usiku PrepO.

ANGALIA CUF YAAMUA KUKIRI KUWA NI VIGUMU SANA KUIONDOA CCM MADARAKANI BILA YA KUWA NA UMOJA

ANGALIA CUF YAAMUA KUKIRI KUWA NI VIGUMU SANA KUIONDOA CCM MADARAKANI BILA YA KUWA NA UMOJAhttps://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0zRSWBZ6ufILMfi6hO5u4Ws4KVnmmvdwaxVF1dfOsx9V_kIiTzHgnxBJMxm178ae-TTbVE7RwhBWpM1TnntsDPuKLiJ5Feu6QS6_jRb45RTAHHfznvT6Nud-REB6AnZyHyAysSl75wqk4/s1600/SOMA+ZAIDI.gif 


Chama cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.


Aidha chama hicho kimesema CCM ni chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu hivyo kama kweli wanataka kukiondoa, ni lazima kuwe na mipango madhubuti ya kisiasa ikiwa ni pamoja na wanachama kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mbalimbali.


Akihutubia juzi wanachama pamoja na wananchi wilayani Masasi waliojitokeza kumsikiliza kwenye mkutano wa ndani, mjini hapa, Mwenyekiti Taifa wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, alisema wakati umefika kwa wanachama kuacha maneno badala yake wajitokeze kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura wawe na sifa za kupiga kura.


Alisema bila umoja na mshikamano ni sawa na kuota ndoto za alinacha kuiondoa CCM madarakani.


Alisema ni vyema wanachama wakajenga mtandao imara mikoa yote nchini ili katika uchaguzi mbalimbali, waishinde CCM.


Kwa mujibu wa Profesa Lipumba, vijana ni nguvu kazi ya taifa ambao wengi wao huwa hawajihusishi moja kwa moja na masuala ya siasa, badala yake wanaishia kulaumu Serikali kuwa haiwaletei maendeleo.


Alisema kama wote wangeipigia Cuf kura ilikuwa ni rahisi kuiondoa CCM.


“Ndugu zangu, wanachama wenzangu kazi ya kuiondoa CCM madarakani si lelemama kama mnavyodhani…hivyo kama hamtajitokeza kujiandikisha pamoja na kupiga kura kwenye chaguzi mbalimbali itakuwa kazi bure,” alisema.


Alisema CUF ina nia ya dhati kuiondoa CCM lakini changamoto kubwa iliyo mbele yao ni ushiriki mdogo wa vijana ambalo ni kundi kubwa.


Alisema Desemba mwaka huu ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivyo aliwataka wanachama kujitokeza kwa wingi kupiga kura huku akisema hiyo ndiyo silaha pekee ya kukiondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) madarakani.


Katika hatua nyingine, Profesa Lipumba aliongoza harambee ya kuchangia ununuzi wa uwanja kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya chama hicho Wilaya ya Masasi ambapo jumla ya Sh 430,000 taslimu zilipatikana huku ahadi ikiwa ni Sh 270,000.

HABARILEO

These mountains are dangerous!




https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrPlloWn181pXSdwsd1yH9zRf5QoNUXkJNsov2SP1khjkSwdLW-FgCuKVyZwqfZ10lueuktqQrlsO2S4pgmbF0qjN6OcttH4oGbIo6xONr4ZO58NYdcx2_eDh1x6zl8cfdZy2OfDC1F5HW/s1600/IMG_0815.JPG








.

Wednesday, 8 October 2014

Kumekucha : Maalim Seif Hamad Kujiuzulu Umakamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar...

 
Hali ya mambo visiwani Zanzibar siyo nzuri hata kidogo, (wala si ya kufurahia) toka jana jioni ilipotoka taarifa ya kufukuzwa kazi kwa Mwanasheria Mkuu wa SUK Athuman Masoud k
umekuwa na vikao usiku kucha kwa viongozi na wanachama wa CUF Zanzibar, na kuazimia pamoja na mambo mengine kufanya tathimini ya "KUJIUZULU" kwa makamo wa kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa. Maalim Seif.
Naam, mmoja wa vijana aliepewa kazi ya kupima upepo ambaye ni mwanasheria wa CUF, anaangalia swala hili kisheria (ikumbukwe kuna makubaliano ya kisheria katika kuongoza SUK).Baadhi wamepewa angles tofauti na kutoa majibu mapema iwezekanavyo.Ili Mheshimiwa achukue uamuzi Mgumu haraka leo.Kama ikiwa ndio hivyo, kesho Media zote ni kujiuzulu kwa Sharif na si kupokeaji wa katiba My take: Kama karidhia yeye mwenyewe Mh.Maalim, na iwe hivyo ila kama ni kupata attention ya media tu siyo.
Stay tuned...
Source:Jamii Forums

BREAKING_NEWZ‬ HUU NDIO MUONEKANO WA MAHAKAMA YA MWANZO ILIOPO KIBAHA MAILI MOJA

BREAKING_NEWZ‬ HUU NDIO MUONEKANO WA MAHAKAMA YA MWANZO ILIOPO KIBAHA MAILI MOJA

 leo katika hatasisitupo.blogspot.com tuna kuletea muonekano wa mahakama ya mwanzo ya kibaha maili moja ambayo serekali imeshindwa ata kuikarabati japo ni mahakama iliyo zaidi ya miaka 20 je ni kweli serikali aiyaoni aya majengo au kunani?

 hiyo apo picha ni askari aliye leta watuhumiwa kwenye mahakama iyo ya mwanzo ya kibaha maili moja

      nahiyo apo picha ni choo cha mahakama hiyo ambacho akifanani kabisa na hadhi ya mahakama hiyo.
Habari na africanmishe.blogspot.com

Saturday, 30 August 2014

TOA MAONI YAKO JUU YA KIFO CHA HUYU DADA



Behind the scene; kifo cha betty.!
Ninaandika makala hii nikitambua bayana kuwa itamuudhi kila mtu anayeingia mtandaoni kwa minajili ya kuwanyanyasa wengine. Lakini siku zote ninaamini katika busara hii: kuuchukia ukweli hakubadilishi ukweli kuwa uongo. Ukweli ni ukweli na uongo ni uongo. Ukweli hauwezi kuwa uongo, na kadhalika uongo hauwezi kuwa ukweli. Kamwe asilani. Wakati tunaomboleza kifo cha ndugu yetu betty ndejembi watu wamesema mengi, na yameandikwa mengi. Kila mmoja kwa namna alivyoguswa. Zitto kabwe ametweet hivi asubuhi "justice for betty", akitoa rai haki ipatikane kwenye kifo cha betty.

Jokate mwegelo nae ametweet kuomba msaada wa kuchunguza kifo cha betty. Na watu wengine maarufu kila mmoja kasema neno, labda kwa sababu betty alikua maarufu in one way or another. Lakini hatuwezi kukwepa ukweli kwamba siku chache kabla ya kifo chake, alinyanyaswa mno kwenye mtandao wa kijamii wa twitter.

Japo hadi muda huu hatuwezi kuhusisha moja kwa moja uhusiano kati ya unyanyasaji huo na kifo chake, lakini mtu akinyanyaswa masaa kadhaa kabla ya kifo chake, waweza kujenga picha flani. Saa chache kabla ya kifo chake betty alitweet kua "pinda hawezi kuwa rais". Baada ya kutweet hakuonekana tena hadi alipookotwa mtaroni kesho yake asubuhi akiwa amefanyia vitendo vya kikatili na akiwa amepoteza fahamu.

Lakini kabla hata ya kutweet hivyo, betty alikua anaandamwa sana mtandaoni huko twitter. Kuna watu walianzisha team ya kumtukana, kumjibu hovyo na kumprovoke kwa kila alilofanya. Naomba ieleweke kuwa simlaumu mtu kwa sababu sina mamlaka ya kufanya hivyo bali dhima ya makala hii ni rambirambi zangu kwa betty kuzungumzia tatizo la unyanyasaji mtandaoni, sambamba na suala zima la unafiki kila kinapojiri kifo hususani cha mtu maarufu. Tuna tatizo kubwa huko mitandaoni.

Tumefika hatua ya kuwapa umaarufu watu wenye matusi ya nguoni, wazushi, wambeya, wanafiki. Wanaochafua wenzao, kutishia wenzao kwa kujifanya askari jkt, kusengenya na kupost majungu.... Aina ya binaadamu wanaostahili laana lakini twaishia kuwatukuza.

Kwenye hii mitandao, matusi imekuwa njia ya mkato ya kupata umaarufu. Kuna wenzetu wengi tu wenye 'umaarufu' huko twitter, facebook na instagram lakini ukidadisi chanzo cha 'umaarufu' huo, utaambiwa 'ah huyu ana matusi si mchezo!' Kuna watu wazima na akili zao wanatumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii aidha kunyanyasa wenzao kama si kusherehesha unyanyasaji huo. Marehemu betty ni victim wa yote hayo.

Alitukanwa sana, na aliitwa majina kadhaa ya kumdhihaki kabla ya kukutana na mauti. Kuna waliomwita di maria, superstar uchwara etc.. and i hope hao waliomuita hivyo wanajifahamu na wengine wananisoma hapa. Japo sijui chanzo cha 'ugomvi' wao, lakini naamini kuna watu wengi tu waliokuwa katika nafasi ya kuzima moto huo kwa vile walikuwa wakizifahamu pande zote mbili za 'ugomvi' husika lakini kwa sababu ya unafiki wakapalilia moto maana wanafurahi watu wakigombana.

La kukera zaidi ambalo ni wazi litajichomoza wakati wa maombolezo haya ni unafiki. Watu walewale waliodiriki kumwandama marehemu wakati wa uhai wake watageuka kuwa wenye uchungu mkubwa baada ya kifo chake. Hii inanikumbusha suala ambalo nimeshawahi kulizungumzia mara kadhaa kwamba 'wakati muafaka wa kutafuta vipaji vya uigizaji ni kwenye misiba: watu walewale waliokuwa wakikuchukia kwa nguvu zote watageuka wenye uchungu mkubwa kwa kifo chako.' Ukiangalia baadhi ya tweets za mwisho za marehemu ni wazi kuwa binti huyo alikuwa anahitaji msaada kutoka kwa wanaomjali. Mojawapo ya tweet za mwishomwisho za marehemu alisema hivi "do i have a sister to support me? No.

Do i have a dad/mom to run to or support me. No. Im hurting and wanna cry? Yes.

But i know god is watching" haihitaji degree ya saikolojia kujua kuwa betty alikua kwenye kipindi kigumu mno na alihitaji msaada kwa watu waliokua karibu yake. Betty anauliza"nina dada wa kunisaidia? Hapana. Nina baba au mama wa kumkimbilia? Hapana. Nimeumizwa/nina uchungu na ninahitaji kulia (lakini nitamlilia nani?). Ila najua mungu anaona" kwa bahati mbaya betty hakuwa na baba, hakuwa na mama, hakuwa na dada wala kaka. Wote walishatangulia mbele ya haki.

Alibaki peke yake, peke yake na mungu wake. Lakini binadamu wasivyo na aibu wala huruma wakazidi kumtukana na kumsimanga, huku wengine wakiporomosha matusi mazito. Hawakujua yaliyokua moyoni mwake. Wakamtambia kwa maisha mazuri wanayoishi na namna walivyobarikiwa. Betty akiwa katika maumivu makali ya hisia akapost hivi "thank you all for the names i was called, luck y'all have such a perfect life.! No hard feelings.. Im alive still.! Endeleeni kuongea" kwa tafsiri isiyo rasmi betty alisema "asanteni kwa majina yote mliyoniita. Mmebarikiwa kuwa na maisha mazuri.! Hamuumizwi na hisia kama mimi.

Ila bado ninaishi, endeleeni kuongea" kwa bahati mbaya hakuna aliyejali, hadi juzi asubuhi (jumatano) betty alipookotwa kwenye mtaro akiwa amefanyiwa unyanyasaji wa kijinsia na akiwa amepoteza fahamu. Kifo cha betty ni miongoni mwa vifo vya kikatili sana kuwahi kutokea nchini. Nashauri wanaharakati ea haki za wanawake wapambane kuhakikisha haki inapatikana.

Akina annanilea nkya, hellen kijobisimba watafute haki ya binti huyu kzma zitto kabwe alivyosema "justice for betty" imagine mtu aliyekua kwenye maumivu makali ya hisia, anatekwa na genge la wahuni. Bila kujali kipindi kigumu alichokua anapitia, bila kujali hakua na wazazi, bila kujali psychological toacher aliyokua nayo still wanamfanyia unyanyasaji wa kijinsia hadi anapoteza fahamu.

Betty aliokotwa mtaroni na kupelekwa hospitali. Jana (alhamisi) aliweza kufungua macho, lakini hakuweza kuongea lolote hadi saa 3 usiku wa kuamkia leo, mauti ilipomkuta. Kwaheri betty, kwaheri classmate wangu (majengo sec), kwaheri rafiki, kwaheri ndugu. Umeondoka dunia bado inakuhitaji. Naumia u have gone too young, lakini naumia zaidi coz umekufa kikatili mmno.

Japo sijui nitakufaje, lakini nadiriki kusema hukustahili kifo cha aina hii. Nakumbuka sms yako ya mwisho kwangu uliniambia hivi "malisa blv me, only youths can change this country". Leo nilipopata taarifa ya kifo chako nimerudia kuisoma sms yako mara mbilimbili.

Sikujua kua sms hiyo ndo ulikua unaniaga. Umeniaga kwa kutuachia vijana wosia, kuwa vijana pekee ndio wenye uwezo wa kuibadilisha nchi hii. Nitakua nimekusaliti ikiwa sitautendea kazi wosia huu. I promise to fight and motivate other youths to liberate this country for ur dedication. Umekwenda kumfuata mama yako, umemfuata baba yako. Wazazi wako walitangulia, leo wewe umewafuata. Hatimaye familia nzima mmekutana paradiso.

Pumzika kwa amani betty.!`


Quote By Malisa Godlisten View Post
Okey. Hii habari nimeiandika mimi. Bila shaka aliyeiweka hapa ameitoa kwenye ukurasa wangu wa facebook. Betty alikua schoolmate wangu Majengo sekondari, baadae akaenda UDOM nami SAUT.

Nimeona baadhi ya maswali yaliyojitokeza na possibly aliyeiweka mada hapa ameshindwa kujibu though ukweli mada ipo wazi. Kuhusu alipookotwa Betty ni Mikocheni. Kuhusu utaratibu wa kuagwa ni kesho Muhimbili, kuhusu maziko yatafanyika Dodoma. Kuhusu waliokua wanamharass kwny social media ni pamoja na Diva wa Clouds fm (nimeattach post ya Diva inayoonesha as if kafurahia kifo cha Betty).

Kuhusu umaarufu alikua mwanamitindo wa Swahili fashion together with Mustapha Hassanali na Jokate Mwegelo. Na ofcoz alishaanza kuwa maarufu kwny hayo mambo ya mitindo.

Anyway kama mnataka kujua umaarufu wake alikua mwanamitindo wa Swahili Fashion na partners wake wakiwa Mustapha Hassanali and Jokate Mwegelo.

Waliouliza may be sio wafuatiliaji wa masuala ya fashion ndo maana hawamjui, but wengi wanaofuatilia issues za mitindo they know her.

Hatahivyo sijaandika makala hii kwa ajili ya umaarufu wake. Nimeandika coz nimeguswa sana na kifo chake. She was my schoolmate at Majengo, and last year she graduated UDOM, B.A International Relations bt akaamua kujikita kwny mambo ya modeling.

However sidhani kama ni sahihi kujua mtu ni nani ndo umtetee. Wote mliouliza huyu dada ana umaarufu gani, did u mean ktk kutetea haki inatakiwa kwanza umjue mtu? Km ndivyo mlivyomaanisha i think mmekosea. Either mnamjua Betty au hamumjui itz not an issue. The issue ni aliyofanyiwa. Je alistahili?

Tusiposema sisi tulio hai kwa kuwa tu hatumjui, nani atasema? Je mnataka Betty aibuke kutoka kwny mauti aje kutetea haki yake? Kumbukeni the dead cannot cry out for justice. It is a duty of the living to do so for them.!

So hata kama Betty angekua a mere citizen ktk nchi hii asiyejulikana na yeyote we could still plee for her justice. We could still shout "JUSTICE FOR BETTY"

Im here to answer anymore question kwa ambaye hajaelewa Makala yangu.
MALISA GJ.!


Makala hii imeandikwa na By Malisa Godlisten

Thursday, 7 August 2014

Exclusive: Man United Hope to Unveil £43m Playmaker Signing On Monday, Arturo Vidal Agrees Personal Terms & Juventus Accept Offer


Exclusive: Man United Hope to Unveil £43m Playmaker Signing On Monday, Arturo Vidal Agrees Personal Terms & Juventus Accept Offer

by Christian Bailey
Comments
0

Arturo Vidal Juventus

Old Trafford side look to welcome in ‘Marquee’ signing early next week.

Man United are looking to complete the capture of long term target Arturo Vidal in a matter of days with the Old Trafford side looking to unveil the Chilean as their third signing of the summer next Monday.
The 27 year old has made it abundantly clear he wishes to leave Juventus and has already agreed terms on a five year contract worth around £180k a week whilst Old Trafford boss Louis van Gaal has convinced Man United’s owners to fork out a club record €55m (£43m) to meet the Italian side’s valuation.
Read more Manchester United FC news.
Van Gaal has been keen to bring in Vidal ever since he was took over at Man United, having previously tracked the attacking midfielder during his spell in charge of Bayern Munich, and the Dutch manager has agreed to offload a number of squad players in order to help balance the books following the proposed purchase.
Vidal has played a key role in Juventus’s three successive Serie A title winning campaigns, scoring 28 goals in domestic league action alone over the course of those triumphs, and has set his sights on an exit from the Turin outfit ever since former boss Antonio Conte left the club in mid-July.
Arturo Vidal Chile
Man United’s owners are keen to bring in further big name signings, having already signed Ander Herrera and Luke Shaw from Athletic Bilbao and Southampton respectively, and they may feel that a club record breaking capture would act as a further statement of intent that will help erase the memory of last term’s shocking seventh place Premier League finish.
Indeed Man United will have watched on as Chelsea have spent around £75m on new signings, with Arsenal investing nearly £60m on additions and arch rivals Liverpool fork out nearly £90m on six players and as such may feel it necessary to bank-roll van Gaal in a similar fashion.
Alexander Buttner Marouane Fellaini Shinji Kagawa Man United
Vidal will offer Man United a seamless link from midfield to attack, acting in an advanced role not unlike Paul Scholes in his pomp, and his imminent arrival will most likely lead to the club allowing the likes of Marouane Fellaini, Javier Hernandez, Shinji Kagawa, Anderson, Nani and Wilfried Zaha to leave.

Friday, 21 February 2014

Cesc Fábregas: José Mourinho should 'shut up' after blasting Barcelona

• Barça answered critics with victory over Manchester City
• Mourinho said Spanish club were 'worst team in many years'
Cesc Fabregas
Cesc Fábregas battles with Yaya Touré during Barcelona's 2-0 win over Manchester City. Photograph: Michael Mayhew/Sportsphoto/Allstar
Cesc Fábregas has told José Mourinho to mind his own business after the Portuguese's claim that the current Barcelona team is the poorest of recent memory. The midfielder, who was pivotal in Tuesday evening's 2-0 defeat of Manchester City, believes Mourinho, below, should concentrate on his own club. "He should talk about Chelsea and their tie [with Galatasaray]. I don't think he should talk about anything else. It is not his business," said Fábregas, who denied Mourinho's comments had driven Barça on. "If we have to get motivated by Mourinho's comments we shouldn't play football."
City have to score three and concede no more than one in the return leg at Camp Nou on 12 March. Can they do it? "They have a chance, of course," said the midfielder. "They have confidence. You always have a chance until the referee says otherwise. It is 180 minutes, not 90. We have to play the same and we will go through."
Regarding what had been the key to Barça's win, which came through goals from Lionel Messi and Dani Alves, Fábregas said: "It was about controlling the game. We know they are good on the counter and when they play offensive football they play it very well. They know what they have to do, we controlled them very well and we did not let their fans get behind their team. We minimised all their efforts. It was a very complete game.
"When you have players like Leo, Xavi, Andres [Iniesta] – you can beat them but not if you can't take the ball away from them. We did that very well - we did not let City have the ball. If you do not have the ball, you can't create chances. We have to be very proud.
"We knew [City] have scored a lot. I watch the Premier League every week and they have been very superior to all these sides when they have played [at home] – so it is normal everyone gets excited [over this win]. Especially in a nice competition like the Champions League. We knew what we had to do and did it very well."

Thursday, 6 February 2014

'The shirt will look better on me!' - Ibrahimovic & Ronaldo in playful Twitter exchange


'The shirt will look better on me!' - Ibrahimovic & Ronaldo in playful Twitter exchange
The Sweden striker pledged to send the Portuguese one of his personalised jerseys as a birthday present, provoking an amusing riposte from the Real Madrid man

 Zlatan Ibrahimovic and Cristiano Ronaldo were involved in an amusing Twitter exchange on Wednesday following a birthday message sent by the Swede to the Portuguese on the social networking site.

Ronaldo played 90 minutes for Real Madrid in their 3-0 derby win over Atletico in the first leg of the sides' Copa del Rey semi-final on Wednesday.

It was an eventful birthday for the Madeira-born forward, who turned 29 on Wednesday, as he was also hit with a three-game ban by the Spanish Football Federation (RFEF) earlier in the day for his red card and subsequent gesture to the officials in Madrid's 1-1 draw at Athletic Bilbao on Sunday.

The 2013 Ballon d'Or winner was also inundated with congratulations from fans on Twitter, but is unlikely to have expected a message from Ibrahimovic.

"Happy birthday @Cristiano!" the Swede wrote. "I have sent your new favourite outfit in the post."

The tweet included the hashtag #DareTo Zlatan and a picture of a T-shirt bearing the same slogan.

View image on Twitter

And later on Wednesday, Ronaldo replied: "Thank you for the birthday present, @Ibra_official. It will look better on me than you though."


The two players maintain a healthy rivalry and went head to head for a place in this year's World Cup in a play-off back in November.

Before those fixtures, Ibrahimovic claimed he was the better player, but Ronaldo had the last laugh as he hit four goals in the two games to secure a World Cup spot for Portugal at the expense of the Swedes and their mercurial striker. www.hatasisitupo.blogspot.com

Monday, 27 January 2014


Juan Mata: New Man Utd signing keen to link up with Rooney

Manchester United's record signing Juan Mata has said he cannot wait to link up with new team-mate Wayne Rooney.
It has been reported that Mata's £37.1m move from Chelsea could lead to a potential summer switch for Rooney in the opposite direction.
But Rooney, 28, is now in talks with United to extend his current deal.
Spain forward Mata, 25, said: "For me, he's one of the best players in the history of this country. He's an unbelievable player."

Mata at Chelsea

Juan Mata
2011-12: 54 appearances, 12 goals, Champions League winner, FA Cup winner
2012-13: 64 appearances, 20 goals, Europa League winner
2013-14: 17 appearances, 1 goal
(Stats are for all competitions)
Mata, who has signed a contract understood to run until summer 2018, could line up alongside Rooney for Tuesday's Premier League game at home to Cardiff City.
"He's a striker who can score, assist and come into midfield to take the ball," added Mata of the England international.
"I will try to connect with him as much as possible and find the gaps in rival defences. I think that's my best style of play, to get into positions where I can assist the strikers."
Mata, who will wear the number eight shirt, also said United's never-say-die attitude meant they could still retain their league title.
"What I like most about this club is the character," said Mata, who was twice Chelsea's player of the year.
"I think if another club were in this position in the league, it would be very difficult to come back and take first position, but this club can do it.
"This is the real image I have from Manchester United, always fighting to win titles, always coming back from difficult moments."

Analysis

"It was hard not to be impressed by Juan Mata at Manchester United's Carrington training ground. The Spaniard swerved around every awkward question and looked genuinely delighted to be a United player, while always remaining complimentary and respectful about his former employees.
"He was particularly impressed by United's decision to fly him up from London by helicopter for his medical. David Moyes couldn't keep the smile off his face throughout. He is clearly delighted to have got his man."
The former Valencia player scored 32 goals for the Blues and made more than 130 appearances but had failed to command a regular starting place under Jose Mourinho, who returned to Chelsea last summer for a second spell as manager.
Mata, capped 32 times by World and European champions Spain, admitted moving to Old Trafford was "really important" to his hopes of making his country's World Cup squad.
United boss David Moyes said he was surprised the club was able to sign a player of Mata's calibre during the January transfer window.
"I am thrilled," said Moyes, whose team are seventh in the Premier League, 14 points adrift of leaders Arsenal. "I got wind a month or two ago it could be possible, but I never thought we could pull it off.
"When we got the sniff there was a chance Juan could be available we went after it right away. There will be more players like Juan in the future. I've no doubts about that." www.hatasisitupo.blogspot.com